Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Imagine kama akina JKN wangeamini fikra za woga kama hii.Mifumo iliyopo hutakiwi ku-challenge sana; inabidi kujifariji maeneo haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imagine kama akina JKN wangeamini fikra za woga kama hii.Mifumo iliyopo hutakiwi ku-challenge sana; inabidi kujifariji maeneo haya
Siasa ni sanaa na si sayansi ndio maana inafundishwa vyuoni; iko hivi, tumia kila njia uwezavyo iwe ni kujeruhi n.k ilimradi malengo yangu yaweze kutimia (uongozi)Imagine kama akina JKN wangeamini fikra za woga kama hii.
Kama huombi namba huwa unafanyaje mkuuHii kitu ndio iliisha nishinda. Sijui ushamba yan huwa sina time ya kumuomba mtu namba
Bora wakati ule kuliko sasa. Watu waliuwawa ndugu wakapewa maiti au kuziona ikawapa uchungu wa kusonga mbele. Ila sasa hiv sasa ebu vaa viatu vya wazaz na ndugu wa ben sa8 uone, amekufa hawajui!! Yupo hai hawajui!!Imagine kama akina JKN wangeamini fikra za woga kama hii.
Tatizo Ni zile Chupa za soda.Hamuwezi wapata wote jamani.
Minara yenyewe siku hizi imekuwa tia maji tia maji sasa mtapakua na nini?
Punguzeni uzinzi mkule kulingana na uimara wa minara yenu.
kenge wahed
sa itakuwaje?Tatizo Ni zile Chupa za soda.
Minara bado iko imara kabisaHamuwezi wapata wote jamani.
Minara yenyewe siku hizi imekuwa tia maji tia maji sasa mtapakua na nini?
Punguzeni uzinzi mkule kulingana na uimara wa minara yenu.
kenge wahed
Sasa why wakaamua kujichukulia uamuzi mgumu wa kujiingiza chupa.Minara bado iko imara kabisa
Unafikir wazungu hawawaz ivo vituTanzania ina safari ndefu sana. ^Huwezi kuleta mabadiliko na maendeleo ya kweli kwenye taifa ambalo asilimia kubwa ya vijana wake wanawaza ngono na pombe^~Che Guevara
Mara nyingi wao ndio huwa wananipa bila kuwaomba.Kama huombi namba huwa unafanyaje mkuu
Tatizo waliangalia sura badala ya kuangalia uwezo wa mashine kukoboaSasa why wakaamua kujichukulia uamuzi mgumu wa kujiingiza chupa.
Hapo sawa mkuuNB: huwa sitongozi mtu ambaye sijamzoea
Hakuna namna tena,mtuzoee tu.sa itakuwaje?
Maajabu ya 💰💰💰Maajabu yapi mkuu, hebu nipe ufundi
Hujaona wanavyowahamisha maelfu ya wasomi na vijana bora wa Afrika ili kuwa manpower katika nchi zao zilizopogoka tangu kitambo? Is the richest man on earth Mzungu?Unafikir wazungu hawawaz ivo vitu
Akili za woga hizi hazina nafasi katika harakati ya kuijenga nchi na kuleta maendeleo endelevu.Bora wakati ule kuliko sasa. Watu waliuwawa ndugu wakapewa maiti au kuziona ikawapa uchungu wa kusonga mbele. Ila sasa hiv sasa ebu vaa viatu vya wazaz na ndugu wa ben sa8 uone, amekufa hawajui!! Yupo hai hawajui!!
Poor statement.Siasa ni sanaa na si sayansi ndio maana inafundishwa vyuoni; iko hivi, tumia kila njia uwezavyo iwe ni kujeruhi n.k ilimradi malengo yangu yaweze kutimia (uongozi)
ha ha ha ngoja nitafute wasiopenda helaMaajabu ya 💰💰💰
wanawake huwa ni kama panya tuna uwezo wa kunusa 😁