Wadada, kwa nini mnatupatia namba feki?

Wadada, kwa nini mnatupatia namba feki?

Hii kitu ndio iliisha nishinda. Sijui ushamba yan huwa sina time ya kumuomba mtu namba
 
Imagine kama akina JKN wangeamini fikra za woga kama hii.
Siasa ni sanaa na si sayansi ndio maana inafundishwa vyuoni; iko hivi, tumia kila njia uwezavyo iwe ni kujeruhi n.k ilimradi malengo yangu yaweze kutimia (uongozi)
 
Imagine kama akina JKN wangeamini fikra za woga kama hii.
Bora wakati ule kuliko sasa. Watu waliuwawa ndugu wakapewa maiti au kuziona ikawapa uchungu wa kusonga mbele. Ila sasa hiv sasa ebu vaa viatu vya wazaz na ndugu wa ben sa8 uone, amekufa hawajui!! Yupo hai hawajui!!
 
Hamuwezi wapata wote jamani.

Minara yenyewe siku hizi imekuwa tia maji tia maji sasa mtapakua na nini?

Punguzeni uzinzi mkule kulingana na uimara wa minara yenu.

kenge wahed
Minara bado iko imara kabisa
 
Kama unajiamini siku zote wewe acha ya kwako.atakutafuta ukiona hujatafutwa jua bado hujaleweka so inasaidia kufuta aibu za kutuma msg na cm zisizojibiwa
 
Unafikir wazungu hawawaz ivo vitu
Hujaona wanavyowahamisha maelfu ya wasomi na vijana bora wa Afrika ili kuwa manpower katika nchi zao zilizopogoka tangu kitambo? Is the richest man on earth Mzungu?

Bora wakati ule kuliko sasa. Watu waliuwawa ndugu wakapewa maiti au kuziona ikawapa uchungu wa kusonga mbele. Ila sasa hiv sasa ebu vaa viatu vya wazaz na ndugu wa ben sa8 uone, amekufa hawajui!! Yupo hai hawajui!!
Akili za woga hizi hazina nafasi katika harakati ya kuijenga nchi na kuleta maendeleo endelevu.

Siasa ni sanaa na si sayansi ndio maana inafundishwa vyuoni; iko hivi, tumia kila njia uwezavyo iwe ni kujeruhi n.k ilimradi malengo yangu yaweze kutimia (uongozi)
Poor statement.
 
Back
Top Bottom