Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nilichukulia kiutu uzima tu,nikijua ni mstaarabuWenzako huwa tukipewa namba tunaipiga apo apo kudhibitisha kama sio namba za gari
Tuwaachie ambao siasa imewaajiriHujaona wanavyowahamisha maelfu ya wasomi na vijana bora wa Afrika ili kuwa manpower katika nchi zao zilizopogoka tangu kitambo? Is the richest man on earth Mzungu?
Akili za woga hizi hazina nafasi katika harakati ya kuijenga nchi na kuleta maendeleo endelevu.
Poor statement.
Kweli mkuu,hawana uungwanaPole kiongoz..wanaboa sana
Mnapoteza fursaHata sisi tunachoka kuombwa namba inabidi tuwape ambazo hazipo hewani tu
Niwe nafanyaje mkuuAcha kuomba omba namba
Imebidi nifanye hivyoPole sana...
Fanya mambo mengine...
Vijana wengi wamewekeza kwenye ku chatKitu ambacho si entertain ni kuomba omba hovyo namba wanawake. Moja kusumbuana kuchati hovyo hovyo, pili ukiomba namba jua wewe ni mzazi mwenza utalipa hadi ada za wajukuu.
Mkuu mnawezaje kuomba namba kwa kuonana na mtu mara moja na mkaweza wasiliana?
Vijana wa kiume Wakiambiwa waandamane kuundoa madarakani utawala dhalimu wa Ccm , wanabaki kuuma uma vidole kama mabinti wanaobaleheTanzania ina safari ndefu sana. ^Huwezi kuleta mabadiliko na maendeleo ya kweli kwenye taifa ambalo asilimia kubwa ya vijana wake wanawaza ngono na pombe^~Che Guevara
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tafuta hela wewe, utaambiwa "nna hiyo voda ukinikosa nicheki na kwenye tigo pia, ila chukua na ya ndugu yangu kwa dharura"
Tunategemea wasomi mtusaidieVijana wa kiume Wakiambiwa waandamane kuundoa madarakani utawala dhalimu wa Ccm , wanabaki kuuma uma vidole kama mabinti wanaobalehe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa na hela inatakiwa iwe kiasi gani?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti mwenye hela unampaje namba fake jamani[emoji2369]
Sure😂😂itakuwa alikupa ya wasap🤣mjaribu huko
Acha bhangi wew hayo mataifa yalioendelea ndo yana uchafu balaaTanzania ina safari ndefu sana. ^Huwezi kuleta mabadiliko na maendeleo ya kweli kwenye taifa ambalo asilimia kubwa ya vijana wake wanawaza ngono na pombe^~Che Guevara
Usomi una kikomo, wakati mwingine force must be used.Tunategemea wasomi mtusaidie
Kiasi cha kutosha kuitwa mwenye hela.Kuwa na hela inatakiwa iwe kiasi gani?