Wadada kwanini mnajiweka cheap kiasi hiki?

hahah.. ni kweli si powa but si wanawake wote, huyo utapata wala hataki umuoe anakutia tuu majaribun umgegede..dats ol, hataki makuu
 
Wanaume kama si wote basi idadi kubwa kipindi hiki tuna shida.
Usiwe umefahamiana na mdada mrembo siku za nyuma au karibu.
Swala ni hili:

Babe bimekumissi!

Kesho birthday yangu!

Yaani sijala toka juzi!

Mpenzi nina shida!

Unenisusa!

Babe hata kusalimia shida?


Nina shida nisaidie voccha!

Babe nimeibiwa kitambulisho, NIDA wanataka hela!


Basi messga e zote hizo zinaweza kufika ndani y siku mbili au tatu toka kwa mademu sehemu tofauti, kwa jinsi mlivyofahamiana.

Jamani mnipe utaalam kwa wazoefu unakwepaje misele hii!
 
Kiungwana ungemwambia hukohuko ili tena kwa kumwelekeza kwa upole kabisa kuwa hiko sio kitu kizuri kwa sababu moja mbili hivi ila kuja hapa nawe inaonesha haupo sawa kabisa. Mwanamke huyo kakuamini sana ndio maana akutumia alivyokutumia! Shida ni wewe kuanika udhaifu wake hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…