Wadada kwanini mnajiweka cheap kiasi hiki?

Wadada kwanini mnajiweka cheap kiasi hiki?

Naona kaumbika hatari na hicho kiuno mbinuko...nashukuru Kwa picha dogo
 
Mambo vipi, imefika hatua nimeona leo nifunguke kwenu wadada, lengo la uzi huu sio kudhalilisha mtu bali kuwaelimisha tuu.

Mimi nina mdada ambaye ni rafiki yangu toka Facebook basi nikatumiwa request akawa analike post na picha zangu.

Nisiende mbali basi badae akawa anakuja inbox tunachat sana akaomba namba zangu nikampatia basi akawa anakuja wasap sana, toka August tunachat sana. Basi Feb hii kaja tofauti.

Mara anitumie picha yupo sehemu fulani (kwa sasa yupo mkoa mmoja hapa Tz, mara yupo kitandani anioneshe mapaja basi bila hiyana namsifia tuu kutimiza furaha yake but mimi sijawahi omba picha zake hata siku moja.

Kwa mwonekano ni mwanamke kaumbika kwa wapenda makalio mubashara aah safi sana basi juzi juzi hapo kati akaja wasap mambo kunakitu nataka nikutumie ila uangalie ukimaliza kula nikamwambia tayari lakini nilikuwa sijala bado msosi wa usiku. Basi akatuma picha na video akiwa kwa Sofa yao kwao anakata mauno balaa, then akanambia niifute eti nikishaangalia.

Lakini najiuliza ladies why kwanini mnataka kujiweka cheap kiasi hiki? Mnasema wanaume tunawadhalilisha sana lakini mnaanza nyie wenyewe. Na bahati mbaya sana ana mtoto mmoja ila hajaolewa ana mshkaji wake huko mkoa mmoja kusini mwa Tz.

Wadada mnaboa sana kwa tabia zenu hizi mnajiweka cheap sana sana ndio maana wengi hamuolewi kwa tabia hizi mnapigwa tuu. Jiwe gizani acheni tabia hizo. Ipo siku ikiwa too much nitamwambia tu its a lesson to others

Mawazo ya wachangiaji ndio kitakuwa kipimo cha akili zao.
Kama huyu
 
watu wengine bhana mnanishangazaga sana!! sasa huyo si anataka umgonge tu!! ona eti ta tangu august mpaka leo eti unachati nae tu! hivi wewe jamaa vip?? wewe ni mzima kweli mkuu?? eti anakusumbua kwa kukutumia vipicha! mimi nakwambia uyo ungemgonga angeshaachaga kukusumbua cku nyingi!! ingekua sio mzuri ningekuelewa asa mtt mwenyew mzur uyo.... kwani kumgonga shi ngapi?? Kwangu wakujilengesha ivo hawamalizagi hata siku mbili aisee
 
wp_ss_20170204_0003.png

Ndiye huyu?
Maana ata mm ananitumiaga alohhh!
 
Ndege wafananao huruka pamoja. Wewe kama hupendi/huendekezi hayo mambo usingekua nae mpaka leo, kitambo sana ungeshamtimua au kumpa onyo kali
 
Mambo ya facebook na jf wapi na wapi...
We jipakulie tu ule umepewa jembe na kulima tukufundishe?
 
Mambo vipi, imefika hatua nimeona leo nifunguke kwenu wadada, lengo la uzi huu sio kudhalilisha mtu bali kuwaelimisha tuu.

Mimi nina mdada ambaye ni rafiki yangu toka Facebook basi nikatumiwa request akawa analike post na picha zangu.

Nisiende mbali basi badae akawa anakuja inbox tunachat sana akaomba namba zangu nikampatia basi akawa anakuja wasap sana, toka August tunachat sana. Basi Feb hii kaja tofauti.

Mara anitumie picha yupo sehemu fulani (kwa sasa yupo mkoa mmoja hapa Tz, mara yupo kitandani anioneshe mapaja basi bila hiyana namsifia tuu kutimiza furaha yake but mimi sijawahi omba picha zake hata siku moja.

Kwa mwonekano ni mwanamke kaumbika kwa wapenda makalio mubashara aah safi sana basi juzi juzi hapo kati akaja wasap mambo kunakitu nataka nikutumie ila uangalie ukimaliza kula nikamwambia tayari lakini nilikuwa sijala bado msosi wa usiku. Basi akatuma picha na video akiwa kwa Sofa yao kwao anakata mauno balaa, then akanambia niifute eti nikishaangalia.

Lakini najiuliza ladies why kwanini mnataka kujiweka cheap kiasi hiki? Mnasema wanaume tunawadhalilisha sana lakini mnaanza nyie wenyewe. Na bahati mbaya sana ana mtoto mmoja ila hajaolewa ana mshkaji wake huko mkoa mmoja kusini mwa Tz.

Wadada mnaboa sana kwa tabia zenu hizi mnajiweka cheap sana sana ndio maana wengi hamuolewi kwa tabia hizi mnapigwa tuu. Jiwe gizani acheni tabia hizo. Ipo siku ikiwa too much nitamwambia tu its a lesson to others

Mawazo ya wachangiaji ndio kitakuwa kipimo cha akili zao.
kama humtaki naomba namba zake hahahah
 
She is seducing you man.Kama humtaki potezea tu najua atakuchukia but una standards zako.wala usimwambie .
 
Wanaume uchwara kama nyie ndio mnasababisha wanaume wa dar tuonekane waoga
 
Mi nikiona picha hizo mzee ndo hasimami kabisa mie napenda kupiga tu na wala cio picha

Lakini hao wapo wengi wenye tabia hizo hasa badoo wanauza hadi picha za uji tsh 10000 lakini picha haina mantiki

Kwa sababu umependwa ww c picha huo n ushenzi kama ni picha ziko kibao porn za namna hiyo
 
Mambo vipi, imefika hatua nimeona leo nifunguke kwenu wadada, lengo la uzi huu sio kudhalilisha mtu bali kuwaelimisha tuu.

Mimi nina mdada ambaye ni rafiki yangu toka Facebook basi nikatumiwa request akawa analike post na picha zangu.

Nisiende mbali basi badae akawa anakuja inbox tunachat sana akaomba namba zangu nikampatia basi akawa anakuja wasap sana, toka August tunachat sana. Basi Feb hii kaja tofauti.

Mara anitumie picha yupo sehemu fulani (kwa sasa yupo mkoa mmoja hapa Tz, mara yupo kitandani anioneshe mapaja basi bila hiyana namsifia tuu kutimiza furaha yake but mimi sijawahi omba picha zake hata siku moja.

Kwa mwonekano ni mwanamke kaumbika kwa wapenda makalio mubashara aah safi sana basi juzi juzi hapo kati akaja wasap mambo kunakitu nataka nikutumie ila uangalie ukimaliza kula nikamwambia tayari lakini nilikuwa sijala bado msosi wa usiku. Basi akatuma picha na video akiwa kwa Sofa yao kwao anakata mauno balaa, then akanambia niifute eti nikishaangalia.

Lakini najiuliza ladies why kwanini mnataka kujiweka cheap kiasi hiki? Mnasema wanaume tunawadhalilisha sana lakini mnaanza nyie wenyewe. Na bahati mbaya sana ana mtoto mmoja ila hajaolewa ana mshkaji wake huko mkoa mmoja kusini mwa Tz.

Wadada mnaboa sana kwa tabia zenu hizi mnajiweka cheap sana sana ndio maana wengi hamuolewi kwa tabia hizi mnapigwa tuu. Jiwe gizani acheni tabia hizo. Ipo siku ikiwa too much nitamwambia tu its a lesson to others

Mawazo ya wachangiaji ndio kitakuwa kipimo cha akili zao.
hebu tutajie username yake fb tukamkataze
 
Haha huyo ndio uliekutana nae yuko cheap.... Wengine wako expensive and very hard to get... Inawezekana mazingira unayojiweka pia unakutana na cheap assets
 
Mkuu to Be Honest ungemuambia Apart na Kuja Kudhalilisha Huku. Maybe Alijaribu ku cope na Hali halis ya Sasa ili awe na Wewe. Na wewe bila Kujiongeza unamdhalilishanutajuaje alikuwa real for you alihitaji.kuku impress?

Mwanaume Halisi Hazadhililishi Mwanamke
 
Back
Top Bottom