Niliwahi kupata, na tulidumu kwenye uhusiano kwa miaka miwili, he is a good guy but at the end of the day tulishindwana kwenye baadhi ya mambo kama ambavyo tu inaweza kutokea kwa mtu uliyekutana nae hata kanisani or anywhere else. Kikubwa unapaswa kua makini kwenye kuchagua maana humu JF kuna watu wa kila aina kama tu ilivyo mtaani. Kuna wenye nia njema, kuna wenye nia mbaya pia so the choice is yours.
Du! Pole! Hii ya kunyweshana damu siielewagi!! Yaani Ni kupendana sana na yamini au shida??? Kweli wengine hatujui kupendana, bali twaishi vizuri tu huku mtaani.Sawa.Kama ungekuwa Na value kama unayoisema ungeendelea naye kimya kimya kimya Haya yasingekukuta,Eti unanifuata PM Na kunichimba mikwara??why maneno yooote.anayokwambia Leo yumkini alishawaambia wengi Na Mimi Sio kwamba kukaa kwangu kimya nilikuwa mjingaa nilikuwa nakufuatilia pole pole hasa nikufahamu vizuri.Maadamu nimeshajua kila kitu chako hunisumbui.Kwanza utaenda kuishi naye wapi.Mwanaume hata mkono hajakushika zaidi ya.mtandao unapata wapi guts za kuja kunitukana.Wewe wanaume wangekuwa wanakuona ungekuja mitandaoni kuiba wanaume wa Watu???tena waliopata mikaruzano Mwanaume yoyote hata akiwa kwenye ndoa hutongoza Ndo hulka yao. Kugombana Watu wanagombana Na tena kwa mambo makubwa Na hupatana au wasipatane Sasa Wewe kama uliitaji kuwa naye wala Sio neno maana mpaka anafika umri ule wangapi kawatokea..zamu yao iliisha, Pengine yangu imeisha kama MTU mpaka tunapoongeq yupo bado kwenye ndoa tena Na watoto wadogo Na mke ndani Na Talaka bado why Mimi Na wewe tube kuwafaidisha Watu.My problem is why following me?? Kilichokushinda kuwa naye kimya kimya ndicho hicho.Ungekuwa Na akili hata kidogo ungejiuliza why nalalamika.Hujui kitu shoga angu tuliza mkono.Mwenzio Huyo angalau nimeishi naye nyumba 1 najua mambo yake mengi Wewe hata kovu lake hulijui zaidi ya kumuona whatsaap you fool!! Sasa kwa taarifa yako..labda msiwepo Hapa nchini.Utaenda kukaa naye wapi?? Eti a nakupenda Unajua Mimi ananiambia nini???mwanaume Ambaye alifikia hatua ya kunywa Damu yangu Na Mimi yake akaapa hata itokee nini hatutaachana, ghafra anakuja kwako Na wewe atayafanya ya zaidi Na acha kujitapa shots.Nyamaza.Ninachoweza kukuhskikishia hufiki naye popote Na kwa vile hunijui vizuri unaweza jua natania au mwensawazimu ulichooosea Ni kunifuata Pm nakunitunishia misuri Eti kwa niniunaomba msamaha..Nyuzi zake unaziona.Umeona alivyokuwa anaongea juu yangu mpaka kuomba ushauri humu?? Utajua why nimefika Hapa.Eti ananipenda how sure are you!!?? Maneno hayo kawaambia wangapi so dont feel that special my dear...This is only the matter of time.Mwisho kwa kuwa Wewe Ndo umenichokoza Na sikuwa nakujua ukanilazimisha kukujua.Just wait and see!
Nawashauri kutaneni mmalizane yaishe. Mapenzi ni ujanjaujanja tu, Jamaa kawashika sana. Hongereni kwa kuja kupendaHow many times umenifuata pm? How many times ulikua ukimtext? Mara ngapi unamfungulia thread? Hizo siku zote sikukuonyesha chochote ila ilifikia point is too much.. Halafu hayo mambo ya kuweka life status yake huku sio ustaarabu hata kidogo na hakupenda kupitia hayo aliyopitia yule nae ni binadamu jaribu kuwa na hekima
Umetiririka vizuri hukoooo, hapa umeharibu sana. Kwenu mmezaliwa wangapi? Zaaaa Wote utaakaojaliwa kuwazaaa. Sawa dada!
Du! Fasta hv! Kweli Kuna mapenzi ya mwendokasi. Pendapenda au[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji173]
Ni pm mamamimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] una mambo weweee.ahahaaa acha kumpotosha mwezio .mtu alishawai kufunga ndoa kabisa ana na watoto huku anawagegeda tu anasepa
NDIO!
Nilimpata wakati niko na majonzi ya Usaliti kutoka kwa jamaa mmoja humuhumu jukwaani
Hata sasa mwaka umepita
Yeye ni rafiki kwangu
Mpenzi
SexPartner
Mwalimu
Kiongozi
Mshauri
Amenizidi sana umri lakini...(KidondaTamuNziNdioHufia)Nampenda Sana thou sijui yeye kama anafeel the same
Mungu akiruhusu nitamfanya Baba wa mtoto wangu wa kwanza
yaani inabidi tuwe na group letu wanawake wa jf kila mtu amtaje mpenzi wake .utakuta ni huyo huyo mmoja
[emoji23]Usjal my dear ww teynaaaaaUkienda kumfunda huko pm tengeneza group unialike.
Mume anataka malezi sio mchezo mchezo.
Unaniharibia concentration ujue. Akili yangu ipo busy juu ya kumlea mume hadi asahau michepuko[emoji78] [emoji78] [emoji78]Dota hilo ndio jibu gani?
Mjue hamjajibu swali!!
Ndanga ndo nini? nikajua ndaga ya kinyaki hahaUmeusoma Uzi?..kuna Mambo na vijambo mbona!
Jibu langu mbona unalijua dear mie ndanga...lol!
tehe tehe tehemimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
NDIO!
Nilimpata wakati niko na majonzi ya Usaliti kutoka kwa jamaa mmoja humuhumu jukwaani
Hata sasa mwaka umepita
Yeye ni rafiki kwangu
Mpenzi
SexPartner
Mwalimu
Kiongozi
Mshauri
Amenizidi sana umri lakini...(KidondaTamuNziNdioHufia)Nampenda Sana thou sijui yeye kama anafeel the same
Mungu akiruhusu nitamfanya Baba wa mtoto wangu wa kwanza