Sawa.Kama ungekuwa Na value kama unayoisema ungeendelea naye kimya kimya kimya Haya yasingekukuta,Eti unanifuata PM Na kunichimba mikwara??why maneno yooote.anayokwambia Leo yumkini alishawaambia wengi Na Mimi Sio kwamba kukaa kwangu kimya nilikuwa mjingaa nilikuwa nakufuatilia pole pole hasa nikufahamu vizuri.Maadamu nimeshajua kila kitu chako hunisumbui.Kwanza utaenda kuishi naye wapi.Mwanaume hata mkono hajakushika zaidi ya.mtandao unapata wapi guts za kuja kunitukana.Wewe wanaume wangekuwa wanakuona ungekuja mitandaoni kuiba wanaume wa Watu???tena waliopata mikaruzano Mwanaume yoyote hata akiwa kwenye ndoa hutongoza Ndo hulka yao. Kugombana Watu wanagombana Na tena kwa mambo makubwa Na hupatana au wasipatane Sasa Wewe kama uliitaji kuwa naye wala Sio neno maana mpaka anafika umri ule wangapi kawatokea..zamu yao iliisha, Pengine yangu imeisha kama MTU mpaka tunapoongeq yupo bado kwenye ndoa tena Na watoto wadogo Na mke ndani Na Talaka bado why Mimi Na wewe tube kuwafaidisha Watu.My problem is why following me?? Kilichokushinda kuwa naye kimya kimya ndicho hicho.Ungekuwa Na akili hata kidogo ungejiuliza why nalalamika.Hujui kitu shoga angu tuliza mkono.Mwenzio Huyo angalau nimeishi naye nyumba 1 najua mambo yake mengi Wewe hata kovu lake hulijui zaidi ya kumuona whatsaap you fool!! Sasa kwa taarifa yako..labda msiwepo Hapa nchini.Utaenda kukaa naye wapi?? Eti a nakupenda Unajua Mimi ananiambia nini???mwanaume Ambaye alifikia hatua ya kunywa Damu yangu Na Mimi yake akaapa hata itokee nini hatutaachana, ghafra anakuja kwako Na wewe atayafanya ya zaidi Na acha kujitapa shots.Nyamaza.Ninachoweza kukuhskikishia hufiki naye popote Na kwa vile hunijui vizuri unaweza jua natania au mwensawazimu ulichooosea Ni kunifuata Pm nakunitunishia misuri Eti kwa niniunaomba msamaha..Nyuzi zake unaziona.Umeona alivyokuwa anaongea juu yangu mpaka kuomba ushauri humu?? Utajua why nimefika Hapa.Eti ananipenda how sure are you!!?? Maneno hayo kawaambia wangapi so dont feel that special my dear...This is only the matter of time.Mwisho kwa kuwa Wewe Ndo umenichokoza Na sikuwa nakujua ukanilazimisha kukujua.Just wait and see!