Haha Mzigua90 Mimi Mume wa Watoto walili.. Sema watamiminika kuniuliza umempetaje Yule Murembo smart sana upstairs![emoji23]Mtaje at your own risk. Utashangaa baada ya kumtaja pm yake inafurika watu wajue anachokupa nini. SHAURI AKO
Mimi niliandika vitu ambavyo vipo...nikavaa uhusika sasa mnayaona.Ndugu Yangu RRONDO Alishtukia figisu figisu za ID's mchanganyiko akaona eeh usikute namtongoza mtu yule yule kwa awamu ya tatu with majina tofauti tofauti. Msitufanyie hivyo jamani[emoji23]
Hujambo mrembo?!Yap!, kwa kweli hii ndo sawa. Na huyo atakayejitosa kwenye mahusiano ya wengine ya wazi atakuwa kweli kaamua.
We mama niache nipumzike, drama za kiwango hiki siziwezi....naona mods wametembeza ban za nguvu! thread kama hizi raha usome kimya.Hebu muweke hadharani bwana. Muite na RRONDO afanye haraka, mana yule hadi na thread alianzisha, foleni yake sio ya nchi hii.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kwakweli mama.Haya mambo bana, hayanaga mjanja. Mungu tu atusaidie
Na huyo mama wa watoto wawili yuko humu pia? Hongereni sana.Haha Mzigua90 Mimi Mume wa Watoto walili.. Sema watamiminika kuniuliza umempetaje Yule Murembo smart sana upstairs![emoji23]
Weeeh!! Ban zimetembea wapi tena!!We mama niache nipumzike, drama za kiwango hiki siziwezi....naona mods wametembeza ban za nguvu! thread kama hizi raha usome kimya.
endelea tu kutaja taja majina yetu...Weeeh!! Ban zimetembea wapi tena!!
Ngoja nitoke baru kabla sijapatwa.
Hahahaaaa.... Mzigua90 ngoja aseme suuuu..! Yote nitayaweka tena nayaanzishia Uzi kabisa kama mbwai iwe mbwai.. "Liwalo na liwe"[emoji4]Na huyo mama wa watoto wawili yuko humu pia? Hongereni sana.
Hivi inakuwaje watu wazima mnafikia stage hii? Mnajidhalilisha hadharani kwa faida gani?Kwakweli mama.
Hawa maticha wallah Mungu anawaona.ni ticha
Wanasemaga mapenzi upofu baba, labda ndio upofu wenyewe huo.Hivi inakuwaje watu wazima mnafikia stage hii? Mnajidhalilisha hadharani kwa faida gani?
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]Hawa maticha wallah Mungu anawaona.
MATURITY, matters alot, kuwa mkubwa kiumri haimaanishi umekua.
Yaani wewe una akili kweli...sijui nimekukosa vipi?Wanasemaga mapenzi upofu baba, labda ndio upofu wenyewe huo.
MATURITY, matters alot, kuwa mkubwa kiumri haimaanishi umekua.
Hahahahahaa... kumbuka at your own risk mkuuHahahaaaa.... Mzigua90 ngoja aseme suuuu..! Yote nitayaweka tena nayaanzishia Uzi kabisa kama mbwai iwe mbwai.. "Liwalo na liwe"[emoji4]