Wadada mliowahi kutafuta wachumba JF na kupata njooni hapa

Wadada mliowahi kutafuta wachumba JF na kupata njooni hapa

Status
Not open for further replies.
Tatizo naweza kabidhiwa file lake hapa hapa mubashara nikajikutaa napata msongo bureee... Kwanza ile haina makombo[emoji125] [emoji125] [emoji125] aaah kuna muda bora usijue tuu[emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwakweli bora usijue tu. Ujipe moyo tu.
 
Tatizo naweza kabidhiwa file lake hapa hapa mubashara nikajikutaa napata msongo bureee... Kwanza ile haina makombo[emoji125] [emoji125] [emoji125] aaah kuna muda bora usijue tuu[emoji12]
Sasa hivi ni mwendo wa kutoleana mafile tu mkuu.
 
Lool shikamoo dada,kumbe ndo maana,miaka 28 kikweli chumvi ushakula sana tu.
Ila hilo lisikufanye kuwa mtumwa wa ndoa kwa lijamaa lisilo na nidhamu kama hilo.
Mkiendelea namleta mkewe wa ukweli humu afu tuone moto wake kama hautakua kama America na North Korea humu.
 
Bora nisijue alafu najiongopea tu.. Kuwa ndio kwanza nakata utepe kuliko nikaletewa bonge la file hapa.
 
Bora nisijue alafu najiongopea tu.. Kuwa ndio kwanza nakata utepe kuliko nikaletewa bonge la file hapa.
 
Wewe na dota wako mlikuwa mstari wa mbele kuhakikisha sipati..
Mie niliavenge tu kwa kweli. Haiwezekani unitumie kama benchmark kwenye moja ya vigezo vyako, nikapata moyo wa kutuma application yangu na picha nikaattach (photoshop) tena ilibidi nipakwe na make up ya uhakika, Aaah kuja kunikataa eti vigezo sijakidhi. Nikaona bora tu tukose wote sasa[emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom