RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Arabian queen Smart 911 wote hao wamepewa kifungo...hii thread imeleta balaaplus inna... leo zimetoka kama njugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arabian queen Smart 911 wote hao wamepewa kifungo...hii thread imeleta balaaplus inna... leo zimetoka kama njugu
Duuuuh!!!Haha haaaaa nilipoona mwanzoni nilijua ni ka style kapya tu ka avatar. Kumbe ni ban live.. Mod's kawataki mchezo. Week ya nenda kwa usalama hii. Wanafanya reshaping ya behavior.
U-shilawadu....wewe endelea tu.Hivi imekuwaje wakala kifungo?
Sasa mimi kosa langu nini jamani!!!
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Basi Ngoja nimpitishia file zangu anifanyie uhakiki mapema[emoji4]Huyo ndio mhakiki mkuu wa jf couples.....
cc: Behaviourist
Upo mbioni kula ban....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nami nipo mbioni.
Ushilawadu raha hujui tu!U-shilawadu....wewe endelea tu.
Hapana, kuleta bandiko.Upo mbioni kula ban....
Yuko mbioni kuongezea ID Mpya nyingine nyenye umri mchanga kabisa.. Anakimbizana na zile Criteria's zako ulizotoa[emoji12]Upo mbioni kula ban....
Huyu nina wasiwasi nae ni mmoja wa wale waliorudiwa mara nne...!🙂🙂🙂😉😉Yuko mbioni kuongezea ID Mpya nyingine nyenye umri mchanga kabisa.. Anakimbizana na zile Criteria's zako ulizotoa[emoji12]
STUNTER Joseverest nao banned! Nini kilitokea humu?Haha haaaaa nilipoona mwanzoni nilijua ni ka style kapya tu ka avatar. Kumbe ni ban live.. Mod's kawataki mchezo. Week ya nenda kwa usalama hii. Wanafanya reshaping ya behavior.
Arabian queen Smart 911 wote hao wamepewa kifungo...hii thread imeleta balaa
STUNTER Joseverest nao banned! Nini kilitokea humu?
Fanya review Mkuu... Usinipe majaribu Mod wasijeniunganisha namimi teh!STUNTER Joseverest nao banned! Nini kilitokea humu?
Heaven Sent ukuje umtaje wa kwako, isije ikawa mama na mwana tumepangwa foleni.
Heaven Sent ukuje umtaje wa kwako, isije ikawa mama na mwana tumepangwa foleni.
Yaani unakuta mimi,wewe Nalendwa wote bebe mmoja, haki ukijua waweza jikataa.
Vipi sasa hilo darasa ushalipata? Nami nikamshike mtua ataje tu jina langu[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Subiri nimalizie na ile ya kumkana mama ake kabisa[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mmmh acha tu ndugu yangu.Yaani ngachokaa!, hii inabidi tuite Love Pentagon.
Maana hata Triangle haifai.
Halafu mdada unajiona umepata kumbe Li bwege husika liko pembeni linachora na mpaka kufikia kuwagombanisha.
Wanaume wajanja sana, si wanajuaga mwalimu wetu kipofu, kwahiyo anawapanga anajitoa upande wa mshtakiwa anakuwa victim mnajikuta mnabararuana wenyewe yeye anawachora tu.Yaani ngachokaa!, hii inabidi tuite Love Pentagon.
Maana hata Triangle haifai.
Halafu mdada unajiona umepata kumbe Li bwege husika liko pembeni linachora na mpaka kufikia kuwagombanisha.
Akimaliza kila mmoja anaenda kumbembeleza kwa wakati wake, na tunavyopenda uongo sasa mmhWanaume wajanja sana, si wanajuaga mwalimu wetu kipofu, kwahiyo anawapanga anajitoa upande wa mshtakiwa anakuwa victim mnajikuta mnabararuana wenyewe yeye anawachora tu.
Wanaume wajanja sana, si wanajuaga mwalimu wetu kipofu, kwahiyo anawapanga anajitoa upande wa mshtakiwa anakuwa victim mnajikuta mnabararuana wenyewe yeye anawachora tu.