Wadada mliowahi kutafuta wachumba JF na kupata njooni hapa

Wadada mliowahi kutafuta wachumba JF na kupata njooni hapa

Status
Not open for further replies.
Haha haaaaa nilipoona mwanzoni nilijua ni ka style kapya tu ka avatar. Kumbe ni ban live.. Mod's kawataki mchezo. Week ya nenda kwa usalama hii. Wanafanya reshaping ya behavior.
Duuuuh!!!
 
Yuko mbioni kuongezea ID Mpya nyingine nyenye umri mchanga kabisa.. Anakimbizana na zile Criteria's zako ulizotoa[emoji12]
Huyu nina wasiwasi nae ni mmoja wa wale waliorudiwa mara nne...!🙂🙂🙂😉😉
 
Yaani unakuta mimi,wewe Nalendwa wote bebe mmoja, haki ukijua waweza jikataa.

Vipi sasa hilo darasa ushalipata? Nami nikamshike mtua ataje tu jina langu[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Subiri nimalizie na ile ya kumkana mama ake kabisa[emoji125] [emoji125] [emoji125]


Yaani ngachokaa!, hii inabidi tuite Love Pentagon.
Maana hata Triangle haifai.

Halafu mdada unajiona umepata kumbe Li bwege husika liko pembeni linachora na mpaka kufikia kuwagombanisha.
 
Yaani ngachokaa!, hii inabidi tuite Love Pentagon.
Maana hata Triangle haifai.

Halafu mdada unajiona umepata kumbe Li bwege husika liko pembeni linachora na mpaka kufikia kuwagombanisha.
Mmmh acha tu ndugu yangu.
 
Yaani ngachokaa!, hii inabidi tuite Love Pentagon.
Maana hata Triangle haifai.

Halafu mdada unajiona umepata kumbe Li bwege husika liko pembeni linachora na mpaka kufikia kuwagombanisha.
Wanaume wajanja sana, si wanajuaga mwalimu wetu kipofu, kwahiyo anawapanga anajitoa upande wa mshtakiwa anakuwa victim mnajikuta mnabararuana wenyewe yeye anawachora tu.
 
Wanaume wajanja sana, si wanajuaga mwalimu wetu kipofu, kwahiyo anawapanga anajitoa upande wa mshtakiwa anakuwa victim mnajikuta mnabararuana wenyewe yeye anawachora tu.


Na mnabaruana haswa na kutoana ya ndani kama hapa sasa. Maana mnakuwa kila mtu anajua mwenzake kiaina jinsi Lifala lilivyowachanganya na kutoa ABC zenu.
Hahahaahaaa!, Uwiiii!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom