Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,828
- 15,001
Teh teh...Badili ID basi..NIMECHOKA KUTAFUTAmimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh...Badili ID basi..NIMECHOKA KUTAFUTAmimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
HongeraNDIO!
Nilimpata wakati niko na majonzi ya Usaliti kutoka kwa jamaa mmoja humuhumu jukwaani
Hata sasa mwaka umepita
Yeye ni rafiki kwangu
Mpenzi
SexPartner
Mwalimu
Kiongozi
Mshauri
Amenizidi sana umri lakini...(KidondaTamuNziNdioHufia)Nampenda Sana thou sijui yeye kama anafeel the same
Mungu akiruhusu nitamfanya Baba wa mtoto wangu wa kwanza
Kwa kuwapenda wazee hujambo!
Wazee wanajua kulea hata amesema amemzidi umri siyo kila anayekuzidi umri ni mzeeKwa kuwapenda wazee hujambo!
Penye nia pana njia Rubii. All the best mkuuNDIO!
Nilimpata wakati niko na majonzi ya Usaliti kutoka kwa jamaa mmoja humuhumu jukwaani
Hata sasa mwaka umepita
Yeye ni rafiki kwangu
Mpenzi
SexPartner
Mwalimu
Kiongozi
Mshauri
Amenizidi sana umri lakini...(KidondaTamuNziNdioHufia)Nampenda Sana thou sijui yeye kama anafeel the same
Mungu akiruhusu nitamfanya Baba wa mtoto wangu wa kwanza
tatizo lako miss masharti mengimimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
kama yepitatizo lako miss masharti mengi
ulisema hutoi mpaka ndoa hapo wanakimbiakama yepi
sasa nikitoa nitalala na wangapiulisema hutoi mpaka ndoa hapo wanakimbia
Haha we endelea kuifuga sijui unadhani itaiva!?...sasa nikitoa nitalala na wangapi
Punguza unataka awe na ndege yake eeh?yupo indelea kusubiliMm bado natafuta sijampata naemuhitaji
Vigezo vyako wengine hawajavionamimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
Wewe [emoji172] [emoji172] [emoji172] [emoji172]
Vigezo vyenu tatizoMm bado natafuta sijampata naemuhitaji