Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
meWho was trouble
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
meWho was trouble
Haaa haaaaaa .Sio kweli wapo wengiiii.Wengine wakugawiwa wengine wakuibwa..ili mradi Dunia inazungukaa.Mi nshatafuta sana hadi pm natafuta sijafanikiwa
Mi nshatafuta sana hadi pm natafuta sijafanikiwa
Hao Hapana hawana vyetiHa ha a a tatizo lako wakoromije huwataki
Tatizo wewe pleamimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
Changamoto zilikuwepo coz ni ngumu kumjua yupi ni mkweli na yupi moyo umemkubali.... Ila thanks God kwa kunipa huyu mtu ni zaidi ya mpenzi kwangu, tumekua kama marafiki tukianza kuongea story haziishi ni mwanaume ambae ni muwazi sana... Kama binadamu mapungufu anayo lkn he is the best man ever anajua kupenda hadi hua nachanganyikiwa.....Abarikiwe alieianzisha jf
Mm bado natafuta sijampata naemuhitaji
Hao Hapana hawana vyeti
Hongera bibieNashukuru nimepata humu ila ckutegemea kwa kwel n nov its my wedding krbn sn
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]unaweza ukapata jini mtu kutafta kwingi .......
Kuwadia....mimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
wewe nani tena?Kuwadia....
Mkuu umenitenga siku hizi. [emoji85]
[emoji23] [emoji23] walikuwa hawakupi hela?tatizo lako miss masharti mengi
[emoji23] [emoji23] walikuwa hawakupi hela?
[emoji13] [emoji13] sasa hivi ndo tuongee sasa nlikuwa nasoma udaku...uko poa lakiniPacha wangu Umeadimika!