Wadada mliowahi kutafuta wachumba JF na kupata njooni hapa

Wadada mliowahi kutafuta wachumba JF na kupata njooni hapa

Status
Not open for further replies.
Changamoto zilikuwepo coz ni ngumu kumjua yupi ni mkweli na yupi moyo umemkubali.... Ila thanks God kwa kunipa huyu mtu ni zaidi ya mpenzi kwangu, tumekua kama marafiki tukianza kuongea story haziishi ni mwanaume ambae ni muwazi sana... Kama binadamu mapungufu anayo lkn he is the best man ever anajua kupenda hadi hua nachanganyikiwa.....Abarikiwe alieianzisha jf

najua siku ukiachwa matusi yake humu hapatoshi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom