rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,032
- 18,540
[emoji13] [emoji13] sasa hivi ndo tuongee sasa nlikuwa nasoma udaku...uko poa lakini
Ha ha a a na ndio uliokutoa mafichoni..Mie sijambo bebe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji13] [emoji13] sasa hivi ndo tuongee sasa nlikuwa nasoma udaku...uko poa lakini
Vipi we hujampata tu ever?Kazi kweli kweli.
Uwiiii jamani, nisamehe bure hun.... ngoja utanisikia sasa hivi halafu utaelewa kilichonisibu.Nakupenda hvohvo na uongo wako
aaah mie kitaaaaambo. b4 jf lakin.Vipi we hujampata tu ever?
[emoji173]Mie sijapata
[emoji23] [emoji23] umejuaje..[emoji108] [emoji108] [emoji108]Ha ha a a na ndio uliokutoa mafichoni..Mie sijambo bebe
Tatizo wee mambo milioni..wewe nani tena?
walinipa kiasi hazikunitosha nikawaacha[emoji23] [emoji23] walikuwa hawakupi hela?
Uliyekuwa unamsubiria ndio huyu kapatikana. Ondoa matangazo njoo tufanye yetuMm bado natafuta sijampata naemuhitaji
Jitahidi utapata tu...................hata mi natafuta kama wewe....vip naruhusiwa kuji-add..?Mie sijapata
Aseee...
VizuriiiNDIO!
Nilimpata wakati niko na majonzi ya Usaliti kutoka kwa jamaa mmoja humuhumu jukwaani
Hata sasa mwaka umepita
Yeye ni rafiki kwangu
Mpenzi
SexPartner
Mwalimu
Kiongozi
Mshauri
Amenizidi sana umri lakini...(KidondaTamuNziNdioHufia)Nampenda Sana thou sijui yeye kama anafeel the same
Mungu akiruhusu nitamfanya Baba wa mtoto wangu wa kwanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani si wengine tumekaa kindezi tu kumbe kuna watu wanafanya kweli...Hongera btw
NDIO!
Nilimpata wakati niko na majonzi ya Usaliti kutoka kwa jamaa mmoja humuhumu jukwaani
Hata sasa mwaka umepita
Yeye ni rafiki kwangu
Mpenzi
SexPartner
Mwalimu
Kiongozi
Mshauri
Amenizidi sana umri lakini...(KidondaTamuNziNdioHufia)Nampenda Sana thou sijui yeye kama anafeel the same
Mungu akiruhusu nitamfanya Baba wa mtoto wangu wa kwanza
Wewe umetumia wangapi humu? Au umejipatia kabisa jiko?Dada hakuna nia mbaya, sema ukweli kuwa humu wapo waoaji na watumiaji tu.
Kama we we mwenyewe ulishindwa, utashindwa hata kwa unaowatafutia!mimi nimetafuta hadi nimechooka hata sitaki tena natafutia tu watu
ni yulee ulimuomba iphone 7?
MAN DOJO & DOMO KAYA Feat. LADY JAYDEE - WANOK N…:
MAN DOJO & DOMO KAYA Feat. LADY JAYDEE - WANOK N…: