Wadada mliowahi kutafuta wachumba JF na kupata njooni hapa

Status
Not open for further replies.
Akimaliza kila mmoja anaenda kumbembeleza kwa wakati wake, na tunavyopenda uongo sasa mmh


Hahahahaa!, Dayuuuuum!
Eti kila mmoja anaenda kumbembeleza kwa wakati wake...LOL!

Wanajua sana ku play victim, na asiye makini kwenye kundi ndio huyo huyo Lifala linaenda kujiegesha kwake akishalikoroga. Kumbe mtu angejua anajichora.
Red flag!, red flag!... espy
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Jamani nyie wadada kwanini mnaaibishana kiasi hiki? This is too much!!!!! Ulishasema hutaki kujibizana nae,why unazidi kujivunjia heshima na unamtafuta keshatulia tulii? Plz achaneni na haya mambo,mbaaibishana bure pasipo sababu na mwisho! Mnakaa kujibizana mbele za watu mambo yenu ya ndani ili iwasaidie nini!! Kama ushakuwa na huyo mtu endelea na mipango yenu ya kuijenga familia na sio kuwekana hadharani kiasi hiki ingawa hatuwezi amini kama ni kweli katuma yeye au tu mnataka kuchafuana! Acheni mambo haya mnatuabisha sana
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…