Wadada mliowahi kutafuta wachumba JF na kupata njooni hapa

Wadada mliowahi kutafuta wachumba JF na kupata njooni hapa

Status
Not open for further replies.
fanya hima uolewe mapema ila ufanyie kazi swala la kumtii mumeo wanawake wengi tunakimbilia kupenda, hujapewa kazi ya kupenda umepewa nafasi ya kutiii ukishamtii yeye akupende akupe na hela , haikisha unatumia hela zake na udeke sahuri yako we kajifanye nunda humo ndani hutaki pesa ohooooo mi nakushauri tu
We ndugu yake mama kila ushauri unaotoa unahakikisha hela unaitaja. Unanifurahisha sana nikiona mwandiko wako
 
Haahaa..! Kazi kweli kweli... Mana misuto imoo na ndoa za mitala nazo zimoo[emoji23] [emoji23] ila inafurahisha tu kuwa people they live beyond keyboards. Transforming charting into real life[emoji4]


Haha!, acha tu kazi si ndogo. Hii ni huge transformation kwa kweli!
 
Nimejaribu kufuatilia hii league sioni ilipoanzia. Naombeni msaada wa yalipoanzia haya majibizano na mie nile ubuyu.
Binadamu hanyimwi ubuyu ananyimwa pesa.
Ila nimegundua huku kuna mambo mengi zaidi ya nilivyokua nachukulia. Yani kuna watu wanaishi kama wanaonana vile.
NB: Kaka unaegombaniwa kama wewe ni Mkurya naomba namba wakitoka wengine unaonekana mtamu chief sio kwa majibizano hayo.
 
Nimejifunza mengi leo shosti!!!
Yaani kabla ya kumkubalia mtu PM Ntamuanzishia thread kabisa na jina lake... Ili kama kuna wenzangu wanishambulie mapema kabla sijakosea njia aisee!
Hahahaaaaa!!! Ndio maana wale wanaowekaga mahusiano yao public humu hata huwa siwalaumu wala kuwashangaa!! Wanaepusha misongamano kama hii.
 
Nimejaribu kufuatilia hii league sioni ilipoanzia. Naombeni msaada wa yalipoanzia haya majibizano na mie nile ubuyu.
Binadamu hanyimwi ubuyu ananyimwa pesa.
Ila nimegundua huku kuna mambo mengi zaidi ya nilivyokua nachukulia. Yani kuna watu wanaishi kama wanaonana vile.
NB: Kaka unaegombaniwa kama wewe ni Mkurya naomba namba wakitoka wengine unaonekana mtamu chief sio kwa majibizano hayo.
Haha haha... We Mzigua90 acha vituko[emoji23] [emoji23]
 
Hahahaaaaa!!! Ndio maana wale wanaowekaga mahusiano yao public humu hata huwa siwalaumu walavkuwashangaa!! Wanaepusha misongamano kama hii.
Mwanzoni I thought zile was just jokes tu[emoji23][emoji23][emoji23] aisee abiria chunga mzigo wako. Itabidi tu ili kuepuka mapinduzi namimi nimuweke hadharani "comforter In Chief" wangu.
 
Mi sipendi kuomba. Maana nikikuomba ukaninyima ntakununia. Sasa ni bora bby ujiongeze tu unipe maana nastahili kupewa kwanini nikuombe?. Ila nimeshasemwa sana na hili suala langu la kujitia kibri kwenye hela, naanza kuomba. Asante kwa somo mamdogo
Khee wewe jitahidi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom