bernadina
Senior Member
- Jan 22, 2017
- 156
- 64
Kama kawaida dhambi kubwa ni kumia yesu basiiiiHaha kuna watu wana dhambi dunia hii, mtu anakula kuku na mayai yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kawaida dhambi kubwa ni kumia yesu basiiiiHaha kuna watu wana dhambi dunia hii, mtu anakula kuku na mayai yake
Umenikimbia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani unakuta mimi,wewe Nalendwa wote bebe mmoja, haki ukijua waweza jikataa.Haha kuna watu wana dhambi dunia hii, mtu anakula kuku na mayai yake
Subiri nimalizie na ile ya kumkana mama ake kabisa[emoji125] [emoji125] [emoji125]Yaani unakuta mimi,wewe Nalendwa wote bebe mmoja, haki ukijua waweza jikataa.
Vipi sasa hilo darasa ushalipata? Nami nikamshike mtua ataje tu jina langu[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Usicheke ujue!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]Subiri nimalizie na ile ya kumkana mama ake kabisa[emoji125] [emoji125] [emoji125]
nisha yaacha
Hahahah Sitaki utani mie[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Uwiiiiiiiii!!
Kweli umepania dota,hadi kukanwa mama!!!
[emoji28][emoji1]Nishajitoa,ila harus nshaalikwa mie
Aaah vingeni huwezi kumpa mwenzio shosti hasa hicho wanachokigombania. Ila wenzetu wanapataje hawa wanaume mpaka wanawagombania jamani???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ujanja kuwahi shosti!!! Bora Venus ajue kabisa kua ana wapinzani!!! Kizuri gawana na mwenzio..
[emoji23][emoji23][emoji23] waombe kozi ya bureAaah vingeni huwezi kumpa mwenzio shosti hasa hicho wanachokigombania. Ila wenzetu wanapataje hawa wanaume mpaka wanawagombania jamani???
Wanaweza nikatalia mana wanaweza wakanipa siri halafu nikapita na muhusika mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23] waombe kozi ya bure
Haha haaa... Nam consult hapa, akisema suuu! Namuweka hadharani live mubashara ili kuepusha msongamano. Ndugu yangu RRONDO Asije nifanyia mapinduzi.[emoji4]Hebu muweke hadharani bwana. Muite na RRONDO afanye haraka, mana yule hadi na thread alianzisha, foleni yake sio ya nchi hii.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mtaje at your own risk. Utashangaa baada ya kumtaja pm yake inafurika watu wajue anachokupa nini. SHAURI AKOHaha haaa... Nam consult hapa, akisema suuu! Namuweka hadharani live mubashara ili kuepusha msongamano. Ndugu yangu RRONDO Asije nifanyia mapinduzi.[emoji4]
Hahahaha hatari sanaWe mfiche tu uje ukute nae anagombania mtu humu ndio akili itakukaa vizuri.
Unaweza hisi umeingia mtandao tofauti.Hahahaha hatari sana
Haya mambo bana, hayanaga mjanja. Mungu tu atusaidieUnaweza hisi umeingia mtandao tofauti.