Wadada mliowahi kutafuta wachumba JF na kupata njooni hapa

Wadada mliowahi kutafuta wachumba JF na kupata njooni hapa

Status
Not open for further replies.
Unajua wakati mwingine mwanaume wanawapanga kwa sababu huwa mnajishaua sana unakuta MTU anakupenda kweli sasa mashauzi pozi MTU mpaka akija kukupata tayar nae anahasila n ww kifatacho ni kuchewez na kupangw
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ujanja kuwahi shosti!!! Bora Venus ajue kabisa kua ana wapinzani!!! Kizuri gawana na mwenzio..
Aaah vingeni huwezi kumpa mwenzio shosti hasa hicho wanachokigombania. Ila wenzetu wanapataje hawa wanaume mpaka wanawagombania jamani???
 
Hebu muweke hadharani bwana. Muite na RRONDO afanye haraka, mana yule hadi na thread alianzisha, foleni yake sio ya nchi hii.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Haha haaa... Nam consult hapa, akisema suuu! Namuweka hadharani live mubashara ili kuepusha msongamano. Ndugu yangu RRONDO Asije nifanyia mapinduzi.[emoji4]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom