KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Kama ni wa JF na hajakoma tu kwa threadi za humu, huyo sio wife material.Daah! jamani hii ni hatari yaani usimzoee mdada kidogo tu hata hujamtongoza kashaanza kukupiga mzinga mara ninunulie simu, hela saloon, mara weekend twende wapi! mara mama anaumwa naomba uniongezee hela ya dawa.
Kina dada hali yenyewe si mnaiona jamani?
Mbona mnataka tuwe wezi bila kutaka?
Una ubaridi wewe..kutoa 20 na mzigo?Na K muwe mnatoa Sasa Nikikupa hela unipe na K
Note : Mwanamke ni liability
The most beneficiary in the relationship is woman
Sasa unatak uitwe gachacha? Lazima uitwe majina mazuri bwana ...gachacha atakuita mama mzazi! Mwanamke wako ni sweet, darling..mume😊
Ebu njoo pm mrembo tuongee vzr hapa sebulen Watoto ni wengi
Ulichelewa kuja mjini...Umenikumbusha machungu,kuna kitoto nilikitongoza tangu mwaka jana mpaka leo sijakatafuna ila nimepigwa mizinga karibia arobaini elfu inafika. Najaribu kaje nikapige mpini mara ooh naogopa namna ya kutoka,mara niko bleed,mara naomba nauli.
Ila hiyo hela katailipa siku yake ngoja nijifanye mtaka cha uvunguni.
Dear niboost Laki 7 ya kodi. Nitakurudishia jioni.
JIONI: Ziiiiiii
Aiseee 400k huo si mshahara kabsa wa ticha na watumishi wengne waserikaliniIla kiuhalisia mwanamke haitakiwi kuomba hela...inabidi mwanaume ndo ampe hela..I had a friend of mine yeye kila mwez ukianza anakatiwa 400k! Yaan hiyo haina Tena kuongezewa..of course inatosha Sana! Hiyo ndo defn ya mwanaume...sio kila Mara uombwe hela jmani..toa tu! Kata fungu jema jikatae[emoji4][emoji4]
Jana ana studio...sio lazima 400 kulingana na uwezo wako🙊Aiseee 400k huo si mshahara kabsa wa ticha na watumishi wengne waserikalini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwani lazima mpewe hela?Ila kiuhalisia mwanamke haitakiwi kuomba hela...inabidi mwanaume ndo ampe hela..I had a friend of mine yeye kila mwez ukianza anakatiwa 400k! Yaan hiyo haina Tena kuongezewa..of course inatosha Sana! Hiyo ndo defn ya mwanaume...sio kila Mara uombwe hela jmani..toa tu! Kata fungu jema jikatae[emoji4][emoji4]
Ndiyo mkuuHivi kwani lazima mpewe hela?
Njaa Mbaya sanaAu simu imedondokea kwenye maji. Yaani daah!!
Hela hell helaDaah! jamani hii ni hatari yaani usimzoee mdada kidogo tu hata hujamtongoza kashaanza kukupiga mzinga mara ninunulie simu, hela saloon, mara weekend twende wapi! mara mama anaumwa naomba uniongezee hela ya dawa.
Kina dada hali yenyewe si mnaiona jamani?
Mbona mnataka tuwe wezi bila kutaka?