Wadada mmezidi kupiga mizinga (kuomba hela)

Wadada mmezidi kupiga mizinga (kuomba hela)

Wadada mmezidi yaani hata ishu hujatoa list ya matatizo kibao
 
Aisee kweli wadada wamezidi, wengine wanapiga mizinga kabla hata hujamtongoza


Wengine ukimpa offer ya outing ndio ataamua kukomeshq kwa kunywa vinywaji vya gharama balaa!
 
Jidai mjinga mpaka umtusue baada ya hapo ataisoma namba
 
Pia tatizo la kutokubaliana mapema mkiwa mnaanza mapenzi, lazima mjadili hayo yote ikiwemo suala la hela.

THIS.
watu wanaingia kwenye mahusiano hawajui wanataka nini wala wenzao wanataka nini.

huku mwanamke anawaza ndoa. mwanaume hiyo hataki hata kusikia. so mwanamke anabaki kuwaza anataka nini kama sio mwili tu. ndo hapo mizinga inaanza.

ukweli ni kuwa kama mwanamke kakupenda na kaona unataka zaidi ya mwili wake wala hawezi kukupiga mizinga hivyo.

other than that, shes there for pure business.
 
THIS.
watu wanaingia kwenye mahusiano hawajui wanataka nini wala wenzao wanataka nini.

huku mwanamke anawaza ndoa. mwanaume hiyo hataki hata kusikia. so mwanamke anabaki kuwaza anataka nini kama sio mwili tu. ndo hapo mizinga inaanza.

ukweli ni kuwa kama mwanamke kakupenda na kaona unataka zaidi ya mwili wake wala hawezi kukupiga mizinga hivyo.

other than that, shes there for pure business.

Na huwa mkiianza biashara, hamfanyagi biashara ya hasara
 
Acheni kulaumu wanawake, niwewe mwenyewe mwanaume katika kuchagua kwako, na unaona toka mwanzo anakupiga mizinga, unamzoesha tu.
Mambo ya hela yakienda kombo ndio unaanza lalamika na kuona hilo kwa macho mawili.
Sijui hao wanawake wako wapi wa kupiga mizinga mara zote.

Anzisheni kampeni ya tokomeza mizinga labda wenye tabia hiyo, wataona aibu.
Pia tatizo la kutokubaliana mapema mkiwa mnaanza mapenzi, lazima mjadili hayo yote ikiwemo suala la hela.

Nimekumiss we mwanamke ujue! Bora leo nimekufuma
 
Mbona huku nje wanawake hawana hamu na pesa yako zaidi ya date na mgegedo? 😀😀
 
Back
Top Bottom