cellinityo-murdch
Senior Member
- Mar 26, 2015
- 190
- 23
ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaa kufamiana 2 ni fursa so wacha 2ikamate
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh kweli kabisa hawa wa2 wamezidi,yaani utakuta wanapiga mzinga hadi salio,na ukishamtumia anabipu
hivi mpaka uitwe mzinga ni kuanzia shingapi???
Valentina weweUsitongoze basi...
Daah! jamani hii ni hatari yaani usimzoee mdada kidogo tu hata hujamtongoza kashaanza kukupiga mzinga mara ninunulie simu, hela saloon, mara weekend twende wapi! mara mama anaumwa naomba uniongezee hela ya dawa.
Kina dada hali yenyewe si mnaiona jamani?
Mbona mnataka tuwe wezi bila kutaka?
Kuna mmoja pale iringa alikuwa ananisumbua sanaaaaa... Nikamtumia laki 3 kwenye simu wakati tuko gesti nikatikita goma kavu kavu mpaka nikakinai..nikatoka nje nikapiga simu voda kuwa nimekosea kutuma hela naomba wairudishe...wakaiblock kwake ikarudi kwangu...asubui niko njiani narudi dar ile nafika mikumi network inashika nakutana na mimeseji ya matusiiiiii....masikini alienda mpaka vodashop wakamwambie mpunga umerudishwa kwa mwenyewe...shenzi ...yaani niko town kitambo afu ninunue mbunye iringa kwa laki tatu? Tufyakwaaa
Ukitaka kuona dunia chungu uwe na videmu vingi alafu vipiga mizinga unaweza kutamani kufa,invoice sio invoice,yaani haya mambo yanakera sana,hujakaa sawa huyu anataka pesa ya saluni,mara huyu kuna gauni zuri kapita posta kaliona dukani sijui toleo jipya,mara huyu kiatu kipya kimeingia,mara huyu simu imedondoka kwenye maji wakati anafua hivyo ununue mpya,mara huyu kaibiwa simu na vibaka
Hujakaa sawa huyu anasema anaenda sendof ya rafiki yake,mara mchango wa harusi sijui nani yake anaolewa,yaani tabu tupu. Hata kama ni Atm zingechoka demands za hawa mabinti wa leo.
Mimi hata Cheka ya JERO sikuungii kabisa, kimya mpaka utajua tu
Punguza uchumi lol
Jero kubwa mno ndugu. .kwani wewe ushawai kuhonga hata hiyo Jero ya Cheka?
Mara kibao tu...