Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro kiukweli napenda kutongoza wanawake hasa nikiwa maeneo si fahamiki halafu huwa natamani siku nikiwa na mtongoza mdada anifokea aniitie watu wake wanisute😂😂 Ila ndio hivyo haijawi nitokeaWoga wako tu mkuu!
Endelea kutongoza lakni usiwe serious sana kwa hao viumbe. We hujui kutongoza ni kuyatafuta matatizo?
Usiwe na huruma na mwanamke
mmh unakutanaga na kina nani?Si amini mbona baada ya hapo sometimes mnakuwa hamjibu text
Mwezetu unatumia mbinu gani kukabiliana na resistance ya kutoa bunye😂😂😂 .. Mimi nikichukua namba ya mtoto lazima angatwe, kwa namna yeyote ...
😜😜Asante mrembo
Pengine pitia kidogo hii itakusaidia... Japo lazima uweze na kujiongeza mwenyewe !! Good luck 🙌Mwezetu unatumia mbinu gani kukabiliana na resistance ya kutoa bunye
Wewe hauna mbinu za kutufundisha hapaSi ndo umewazoea na upo karibu nao
Tafuta hela tafuta hela tafuta helaHabari zenu members wote was jamiiforum pia poleni na mahangaiko
Mimi nina swali hasa kwa wadada kuhusu wanavyojisikia wanapo tongozwa na mkaka ambaye humjui Wala yeye hakujui Ila ndio hivyo mkaka ameamua kuja mpaka ulipo na kukuambia amevutiwa na wewe baada ya maongezi machache kutambulishana
Nimeuliza hivi kwa sababu Mimi ni introvert pia kwenye social circle yangu almost Hamna jinsia ya kike kiufupi sijawahi kua na rafiki wa kike kwenye maisha yangu ,rafiki wangu wote wengi ni wa kiume ndivyo nilivo naona uzito Sana kua na rafiki wa kike ni kitu ambacho sijazoea
Njia yangu kubwa ya kupata mademu natumia Sana cold approach
Kiukweli naona nafuu zaidi kutongoza mdada hapohapo kuliko kuanzia kwenye urafiki mpaka baadae kuja kufunguka mpaka Leo sijajielewa Nina shida gani Tena napenda kutongoza wanawake wa mbali kuliko karibu kiufupi wanawake wa maeneo ya karibu hata iweje si mtongozo ng'o
Shida inakuja nimekuja kugundua wanawake wengi wanashutka na kushangaa Sana pale mkaka hakujui Wala hakufahamu hata kidogo halafu umtongoze Tena kwa confidence wanakuwa na wasiwasi mpaka wengine wanakataa au anakupa namba halafu hajibu message
Ndio leo nimeona labda niwaulize nyie wenyewe wadada maana sitaki kuanza kuweka lawama kwa warembo kumbe Mimi mwenyewe njia ninayo tumia labda sio maana mdada anaonyesha ushilikiano wakati na mtongoza shida inakuja mda mwingine hawaoneshi ushilikiano baada ya kukupa namba Tena Cha kushangazwa hata mizinga sijawahi pigwa yangu nimeanza kutongoza😂 Sijui Kuna nini?
View attachment 3078176
View attachment 3078177
Asante ngoja nikaongeze mbinu za kivita hii dunia lazima huwe updated Kila mdaPengine pitia kidogo hii itakusaidia... Japo lazima uweze na kujiongeza mwenyewe !! Good luck 🙌
Hamna kitu kibaya Kama huwe na hela halafu ni Domo zegeTafuta hela tafuta hela tafuta hela
Domo zege manake nini?Hamna kitu kibaya Kama huwe na hela halafu ni Domo zege
Ni mwanaume ambaye sio kwamba hawezi Ila anaogopa sana kutongoza wanawakeDomo zege manake nini?
Tafuta hela tafuta hela tafuta hela
Unakuta una hela huna nguvu za kiume Life isnt fair .Angalia youtube basi halafu utajua na utapata Mke MwemaNi mwanaume ambaye sio kwamba hawezi Ila anaogopa sana kutongoza wanawake
Sijui ila wengine wananiambia wanataka uanzie kwenye friend zone ndio mje kuwa wa penzi Sasa Kama Mimi nishazoea kunyosha maelezo Kama kitu nakitakammh unakutanaga na kina nani?
Kwani wewe sio mke mwemaAngalia youtube basi halafu utajua na utapata Mke Mwema
Ila baada ya hapo mnatupiga mikausho ya milele si ndiotunajisikia vizur
Wewe jamaa umenishinda jamani Hadi kwenye mabasi😂😂Nimegundua ukipanda yale mabasi ya mikoani yaliyochoka kuopoa pisi za kumwagia kimbo siku hiyohiyo ni rahisi sanaa