Wadada mnakera sana some times

Wadada mnakera sana some times

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,711
Reaction score
35,644
Nipo na mchizi wangu, kaja na wadada wawili tukawa tunatoka out, njiani gari ikazingua wale mademu kwa kuwa wanajua destination wakachukua bajaji wakatangulia.

Yaani gari ikipata hitilafu wanawake wanaona kama wanadhalilishwa shenzi sana [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34], aisee nilimind sana nkamwambia jamaa turudi twende kijiwe kingine baada ya gari kutengemaa tuwaache wale wanawake wafanye yao, Sasa kama wameagiza vinywaji na vyakula wakizani tutalipa imekula kwao.

Uzi tayari karibuni tujadili
FB_IMG_1560256881001.jpeg
Screenshot_2019-06-12-23-05-56.jpeg
 
Nipo na mchizi wangu, kaja na wadada wawili tukawa tunatoka out, njiani gari ikazingua wale mademu kwa kuwa wanajua destination wakachukua bajaji wakatangulia.

Yaani gari ikipata hitilafu wanawake wanaona kama wanadhalilishwa shenzi sana [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34], aisee nilimind sana nkamwambia jamaa turudi twende kijiwe kingine baada ya gari kutengemaa tuwaache wale wanawake wafanye yao, Sasa kama wameagiza vinywaji na vyakula wakizani tutalipa imekula kwao.

Uzi tayari karibuni tujadiliView attachment 1127822View attachment 1127824
Mkuu hiyo ni kweli kabisa wao wanapenda kuweka vishoka tu,,,hapo mmefanya maamuzi ya kiume maana hao sio wife material shida kidogo wameshindwa kuvumilia [emoji16][emoji16]

Komenti tayari [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Asante mkuu[emoji8]

Reply tayari
Mkuu hiyo ni kweli kabisa wao wanapenda kuweka vishoka tu,,,hapo mmefanya maamuzi ya kiume maana hao sio wife material shida kidogo wameshindwa kuvumilia [emoji16][emoji16]

Komenti tayari [emoji16][emoji16][emoji16]
 
hawana kitu wale.

wanawake ndo mlivyo gari ikizingua njiani mnajifanya matawi[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Itakuwa walikuwa na hela ndo maana wakatangulia[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom