Wadada mnakera sana some times

Wadada mnakera sana some times

Sasa nikijua tatizo ni nini naweza tengeneza?! Fundi akuje ajue tatizo atengeneze
Tupo tofauti sana mkuu mm gari ikizingua lazima nijue tatizo ili next time ikingua porini napambana nalo mwenyewe
 
Nipo na mchizi wangu, kaja na wadada wawili tukawa tunatoka out, njiani gari ikazingua wale mademu kwa kuwa wanajua destination wakachukua bajaji wakatangulia.

Yaani gari ikipata hitilafu wanawake wanaona kama wanadhalilishwa shenzi sana [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34], aisee nilimind sana nkamwambia jamaa turudi twende kijiwe kingine baada ya gari kutengemaa tuwaache wale wanawake wafanye yao, Sasa kama wameagiza vinywaji na vyakula wakizani tutalipa imekula kwao.

Uzi tayari karibuni tujadiliView attachment 1127822View attachment 1127824
Si wote. Ila kwa hao, uamuzi wako ulikuwa sahihi. Sasa kama ulichukua mrupo ulitegemea nini. Nina uhakika kama ni mtu wako wa siku zote asingekuacha unahangaika na usafiri ye atangulie
 
Jamaa ndo anawajua mie mgeni ila walipozingua nkamwambia jamaa tuwateme tutafute kijiwe kingine
Si wote. Ila kwa hao, uamuzi wako ulikuwa sahihi. Sasa kama ulichukua mrupo ulitegemea nini. Nina uhakika kama ni mtu wako wa siku zote asingekuacha unahangaika na usafiri ye atangulie
 
Back
Top Bottom