Wadada mnakera sana some times

Mnawatia aibu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wameona hawa nao mgari wao mbovu bovu tuchekwe[emoji119]

Halafu ujinga mkiwa barabarani hata anayekujua akipita anakuchora tu. Mwisho wa siku mkionana anakwambia niliwaona sehemu flani gari yenu sijui ilikuwa imebuma[emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] baba yao analo???
 
Mie huku mgeni ila wanawake wanakera saaana yaaani ningekua naishi hapa ningewazabua mabanzi hadi wanishtaki sheeee...nzi zao
 
[emoji23][emoji23]ndio kwanza unachukua simu unafungua JF[emoji119][emoji119]


[emoji23][emoji23]Atumie magari mazuri, aache ya kuunga unga. (halafu yana tabia siku upo na watoto wazuri ndio yanazingua[emoji23][emoji23])
Asa unataka nishuke kutengeneza au
 
Akishika simu aingie JF napasua simu[emoji34][emoji34][emoji34]
[emoji23][emoji23]ndio kwanza unachukua simu unafungua JF[emoji119][emoji119]


[emoji23][emoji23]Atumie magari mazuri, aache ya kuunga unga. (halafu yana tabia siku upo na watoto wazuri ndio yanazingua[emoji23][emoji23])
 
Sasa Madam B hapo juu anahusikaje?
 
[emoji23][emoji23]ndio kwanza unachukua simu unafungua JF[emoji119][emoji119]


[emoji23][emoji23]Atumie magari mazuri, aache ya kuunga unga. (halafu yana tabia siku upo na watoto wazuri ndio yanazingua[emoji23][emoji23])
Hahaha hahaha
Kama vile ulikuwepo!

Huwa sijigusii mimi, nalog in JF natuliaa! Kama ni kusukuma wasukume nikiwa ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…