Wadada mnaovaa mawigi kuweni makini mnapopita kwenye hii milango ya kisasa

Leo nimeshuhudia wigi la mdada limeanguka baada ya kunata kwenye mlango,aisee ki ukwel ana kichwa kibaya saaaaanaa.

MY TAKE
Kama ni mdada na unavaa mawigi ongeza umakini usije kuaibika kama una kichwa kibaya.
Picha Iko wapi
 
Wanaume Pale tunapoona uhalisia wa mtu tunaona ni mbayaaa Matokeo yake tunadanganywa ukiweka ndani usiku anatoa kope anatoa wigi unajiuliza ni yule binti au ni mjusi wa kale nimeoa?

Hicho ulichokioana ndo halisi, original, genuine.
 
Leo nimeshuhudia wigi la mdada limeanguka baada ya kunata kwenye mlango,aisee ki ukwel ana kichwa kibaya saaaaanaa.

MY TAKE
Kama ni mdada na unavaa mawigi ongeza umakini usije kuaibika kama una kichwa kibaya.
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™Œ
 
Na uvundo pia, wazingatie usafi.

Utakuta mdada anatinga wigi hilo hilo kila siku mpaka linamea magaga ya ngozi ya kichwa. Ukilikung'uta linatoka vumbi kama gunia la ngano iliyokobolewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…