The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
😅😅😅 wa hivi wapo na wanaboa sana.Wanaume Pale tunapoona uhalisia wa mtu tunaona ni mbayaaa Matokeo yake tunadanganywa ukiweka ndani usiku anatoa kope anatoa wigi unajiuliza ni yule binti au ni mjusi wa kale nimeoa?
Hicho ulichokioana ndo halisi, original, genuine.