Wadada mnavyowatembelea wapenzi wenu wa kiume, muwe wabunifu

Wadada mnavyowatembelea wapenzi wenu wa kiume, muwe wabunifu

Ukifika kwa mpenzi wako wa kiume, jitahidi kuwa mbunifu,mfano:-
  • Kutembea kwa mwendo wa maringo
  • Kuzunguka zunguka ndani ya nyumba kwa mwendo wa maringo
  • kujifanya umedondosha vitu na kuinama kuviokota
  • Kuvaa vazi la kanga na kufanya fanya usafi, kupika ,kumtengenezea mpenzi wako juisi n.k
  • Kumzuga mpenzi wako kuna sehemu ya mwili panawasha ili akukune
  • Kuchezea chezea ndevu za mpenzi wako huku ukiwa umeinama
  • Kumgonga kwa makusudi na makalio pale atakapokuwa amekaa au kusimama
  • Kutumia lugha laini, kama leo unataka kwenye mechi wewe uwe mshindi n.k
Kufanya hivyo, kunamfanya mwanaume awe zuzu na awe anakuwaza wewe muda wote.
umesahau kumfanya akukune matackle
 
Nachotaka kukwambia ni kwamba kama mtoto wa kike, ukipata mwanaume akakupenda jaribu kupendeka na achana na maswala ya kuringa au mapozi zama kwenye mapenzi muwe wehu pamoja.

Wanaume huwa tunatamani tu kupenda hutokea mara chache sana na huwa ni katika umri chini ya miaka 30. Huku juu usitafute hizo swaga utapoteza muda wako tu.
✍🏻✍🏻✍🏻✍🏻
 
Ukifika kwa mpenzi wako wa kiume, jitahidi kuwa mbunifu,mfano:-
  • Kutembea kwa mwendo wa maringo
  • Kuzunguka zunguka ndani ya nyumba kwa mwendo wa maringo
  • kujifanya umedondosha vitu na kuinama kuviokota
  • Kuvaa vazi la kanga na kufanya fanya usafi, kupika ,kumtengenezea mpenzi wako juisi n.k
  • Kumzuga mpenzi wako kuna sehemu ya mwili panawasha ili akukune
  • Kuchezea chezea ndevu za mpenzi wako huku ukiwa umeinama
  • Kumgonga kwa makusudi na makalio pale atakapokuwa amekaa au kusimama
  • Kutumia lugha laini, kama leo unataka kwenye mechi wewe uwe mshindi n.k
Kufanya hivyo, kunamfanya mwanaume awe zuzu na awe anakuwaza wewe muda wote.
Wanaume wa Dar au wa Mkoani?!
 
Ukifika kwa mpenzi wako wa kiume, jitahidi kuwa mbunifu,mfano:-
  • Kutembea kwa mwendo wa maringo
  • Kuzunguka zunguka ndani ya nyumba kwa mwendo wa maringo
  • kujifanya umedondosha vitu na kuinama kuviokota
  • Kuvaa vazi la kanga na kufanya fanya usafi, kupika ,kumtengenezea mpenzi wako juisi n.k
  • Kumzuga mpenzi wako kuna sehemu ya mwili panawasha ili akukune
  • Kuchezea chezea ndevu za mpenzi wako huku ukiwa umeinama
  • Kumgonga kwa makusudi na makalio pale atakapokuwa amekaa au kusimama
  • Kutumia lugha laini, kama leo unataka kwenye mechi wewe uwe mshindi n.k
Kufanya hivyo, kunamfanya mwanaume awe zuzu na awe anakuwaza wewe muda wote.
Utopia. Ukibahatika kupata hayo niko tayari kumsaliti mama ngosha…
 
Ukifika kwa mpenzi wako wa kiume, jitahidi kuwa mbunifu,mfano:-
  • Kutembea kwa mwendo wa maringo
  • Kuzunguka zunguka ndani ya nyumba kwa mwendo wa maringo
  • kujifanya umedondosha vitu na kuinama kuviokota
  • Kuvaa vazi la kanga na kufanya fanya usafi, kupika ,kumtengenezea mpenzi wako juisi n.k
  • Kumzuga mpenzi wako kuna sehemu ya mwili panawasha ili akukune
  • Kuchezea chezea ndevu za mpenzi wako huku ukiwa umeinama
  • Kumgonga kwa makusudi na makalio pale atakapokuwa amekaa au kusimama
  • Kutumia lugha laini, kama leo unataka kwenye mechi wewe uwe mshindi n.k
Kufanya hivyo, kunamfanya mwanaume awe zuzu na awe anakuwaza wewe muda wote.
Tatizo wengi wao hawana muda wa kufanya hayo yote mkuu,anakuja mmalizane upesi apitilize kwa mwanaume mwingine,[emoji23]
 
Ukifika kwa mpenzi wako wa kiume, jitahidi kuwa mbunifu,mfano:-
  • Kutembea kwa mwendo wa maringo
  • Kuzunguka zunguka ndani ya nyumba kwa mwendo wa maringo
  • kujifanya umedondosha vitu na kuinama kuviokota
  • Kuvaa vazi la kanga na kufanya fanya usafi, kupika ,kumtengenezea mpenzi wako juisi n.k
  • Kumzuga mpenzi wako kuna sehemu ya mwili panawasha ili akukune
  • Kuchezea chezea ndevu za mpenzi wako huku ukiwa umeinama
  • Kumgonga kwa makusudi na makalio pale atakapokuwa amekaa au kusimama
  • Kutumia lugha laini, kama leo unataka kwenye mechi wewe uwe mshindi n.k
Kufanya hivyo, kunamfanya mwanaume awe zuzu na awe anakuwaza wewe muda wote.

In exchange of? Yeye mwanamke akutake na kufanya haya kwa sababu gani?

1. Wewe ni handsome Sana kuliko wote?
2. Hata nauli ya Kuja kwako hujampa.
3. Huna hela unawaza mapenzi tu.

Mwanamke wa dunia hii ya Leo, lazima awe na sababu ya kumpenda mwanaume, na akiwa nayo hafundishwi namna ya kufanya.

Mwanamke will perform beyond expectations akiguswa mwenye hisia zake, and never mentally, what to do?

1. Make her happy and try to be more understanding.
2. Love her without reasons, Yani we mpende tu.
3. Mdanganye, sio vitu vyote vya kumwambia mwanamke.
4. Mpe pesa
5. Mpe pesa
6. Mpe pesa
7. Nasema mpe pesa
8. Jaman mpe pesa
9. Kurahisha mpe atm ya mshahara
 
In exchange of? Yeye mwanamke akutake na kufanya haya kwa sababu gani?

1. Wewe ni handsome Sana kuliko wote?
2. Hata nauli ya Kuja kwako hujampa.
3. Huna hela unawaza mapenzi tu.

Mwanamke wa dunia hii ya Leo, lazima awe na sababu ya kumpenda mwanaume, na akiwa nayo hafundishwi namna ya kufanya.

Mwanamke will perform beyond expectations akiguswa mwenye hisia zake, and never mentally, what to do?

1. Make her happy and try to be more understanding.
2. Love her without reasons, Yani we mpende tu.
3. Mdanganye, sio vitu vyote vya kumwambia mwanamke.
4. Mpe pesa
5. Mpe pesa
6. Mpe pesa
7. Nasema mpe pesa
8. Jaman mpe pesa
9. Kurahisha mpe atm ya mshahara
Wangapi wanapesa nabado mapenzi yana washinda
 
Back
Top Bottom