Wadada Msipende kula pesa za wanaume ambao hamna future nao. Zitakugharimu!

wewe kama hutaki kuliwa hela kaa na hela zako mwache na uchi wake ikikuuma saa n ww kaweke uchi ule hla za watu ujiunganishe kiroho
 
achiiachii
 
Huyo mwanaume naye kwa nini atoe hela?
Mkuu wadada wa siku hizi,anaweza onyesha viashiria kuwa amekuelewa,ukawa huna shaka,wangapi wanaachwa? Sio wajinga, Naamini wanaume wengi tunapenda kutoa Hela Kwa wanawake kama ishara ya Upendo, support,kuonyesha uwezo wa kubeba majukumu n.k
Kiroho huwezi kupenda bila kutoa,kumbuka
 
Kula mali ya mtu ni kumpa huyo mtu haki juu yako au kama ulivyosema, kujifunga kamba au kujigeuza mtumwa wake. Mtu timamu na makini sio rahisi kabisa kupokea vya bure
 
Mithali 15:27
[27]Atamaniye faida huifadhaisha nyumba yake mwenyewe;
Bali achukiaye zawadi ataishi.
He that is greedy of gain troubleth his own house; but he that hateth gifts shall live.
 
Wanawake wana save namba hata kwa miaka5,yaan wanadestuli hiyo sasa huko wakiona hawaelewi ndio hukumbuka wale ambao walikuwa wanawasaidia sijui wakijua wajinga
 
Mithali 22:7 (b)
Naye akopaye ni mtumwa wake akopeshaye.
the borrower is servant to the lender.
 
Wanawake wana save namba hata kwa miaka5,yaan wanadestuli hiyo sasa huko wakiona hawaelewi ndio hukumbuka wale ambao walikuwa wanawasaidia sijui wakijua wajinga
Tena wanatunza Ili wakipatwa na shida waje kupiga mizinga,wapo tayari kutoa chochote.nimeshatafutwa sana,una shangaa za siku? Za miaka,upo? Umenisusa?!
 
Sio pesa tu...

Kuna binti nilimtongoza akakubali ila kutoa uchi akawa anagoma...

Baadae akaniomba nimsaidie kutafuta kitu flani, nikamfanikishia baada ya hapo akanipotezea...

Baada ya mda akatimuliwa kazini...

Akaja kuomba sehemu nyingine kazi ya kijinga kabisa nayo akakosa japo vigezo anavyo...

Namuomba Mungu amfungue japo alinifanyia upuuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…