Wadada ni marangapi kwenye huu mwezi umetamkiwa u mzuri?

Wadada ni marangapi kwenye huu mwezi umetamkiwa u mzuri?

Haya fanya vije...!! Au nikuletee maji ya bahari huko huko Uvinza?
Utakua umenifaa sana aisee

Ila sasa utaweza kubeba ya kunitosha kuoga mwili mzima? Maana nina huo mwili nyumba balaa
 
Tuambie wanadada basi mwezi huu umeambiwa mara ngapi u mzuri?

Tuambie😃🥰
Kila siku aisee. Mda mwengine naamka asubuhi najina kabisa urembo sio ule wa siku zote ila hubby anakuchapa na neno anakwambia eti mrembo wangu: aah kupendwa rahaaa
 
Una housing kubwa? Pipa si litatatosha lije na TRENI
Yeah pipa itakua perfect hapo naoga na kutakata vema.

Location si unaijua, sijahama pale so lini nikutarajie na mimi niwe nasifiwa jamani
 
Yeah pipa itakua perfect hapo naoga na kutakata vema.

Location si unaijua, sijahama pale so lini nikutarajie na mimi niwe nasifiwa jamani
Lishaisha hili. Kwanza, kukutoa nuksi naanza mimi..!! Mrembo hujambo?
 
Lishaisha hili. Kwanza, kukutoa nuksi naanza mimi..!! Mrembo hujambo?
Weee hapo kabla sijaoga, je nikioga hayo maji ya bahari itakuaje!!

Me niko poa kabisa kaka, nafurahi kukuona
 
Tangia mwezi uanze sijaambiwa, nikaoge maji ya bahari
Wewe ni mrembo haswaa. Mwenyenzi Mungu alitulia mno alipoanza kukufikiria, wakati wa kukuunda na umaliziaji wake.

Mashallah!
 
Wewe ni mrembo haswaa. Mwenyenzi Mungu alitulia mno alipoanza kukufikiria, wakati wa kukuunda na umaliziaji wake.

Mashallah!
Ooh thank you jamani
Nami ni pisi kali, najiskia raha
 
Back
Top Bottom