Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Hata 10 me naweza kukuleteaViwili vinanitosha..!! Kwani wewe unaweza vingapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata 10 me naweza kukuleteaViwili vinanitosha..!! Kwani wewe unaweza vingapi?
Nini tena?Khaa [emoji2]
Haya fanya vije...!! Au nikuletee maji ya bahari huko huko Uvinza?Hata 10 me naweza kukuletea
IdadiKitu gani?
Sijui nimwite aje aseme hapa uone 😜😜😜😜😜Kelsea njoo huku na uje na Bantu Lady msome hili li kitu lizito lenye ncha kali
Utakua umenifaa sana aiseeHaya fanya vije...!! Au nikuletee maji ya bahari huko huko Uvinza?
We shindwa na mimambo yako ya kurushana roho hapa..!! Hivi Heaven on Earth yupo?Sijui nimwite aje aseme hapa uone 😜😜😜😜😜
Kila siku aisee. Mda mwengine naamka asubuhi najina kabisa urembo sio ule wa siku zote ila hubby anakuchapa na neno anakwambia eti mrembo wangu: aah kupendwa rahaaaTuambie wanadada basi mwezi huu umeambiwa mara ngapi u mzuri?
Tuambie😃🥰
Una housing kubwa? Pipa si litatatosha lije na TRENIUtakua umenifaa sana aisee
Ila sasa utaweza kubeba ya kunitosha kuoga mwili mzima? Maana nina huo mwili nyumba balaa
Mara mbili nakumbuka, mara nyingi ananiambia ananipenda hii idadi ndio sijui.Idadi
Hamna [emoji41]Nini tena?
Akipita hapa atasoma sijui nimtag 🤦♀️We shindwa na mimambo yako ya kurushana roho hapa..!! Hivi Heaven on Earth yupo?
Yeah pipa itakua perfect hapo naoga na kutakata vema.Una housing kubwa? Pipa si litatatosha lije na TRENI
Lishaisha hili. Kwanza, kukutoa nuksi naanza mimi..!! Mrembo hujambo?Yeah pipa itakua perfect hapo naoga na kutakata vema.
Location si unaijua, sijahama pale so lini nikutarajie na mimi niwe nasifiwa jamani
Kwenye kikao kumbe ulikuwa hujapiga vyomboInaongeza nini hiyo? Si yulikubaliana tuwape pesa? Hiyo kwenye kikao ilikataliwa
Weee hapo kabla sijaoga, je nikioga hayo maji ya bahari itakuaje!!Lishaisha hili. Kwanza, kukutoa nuksi naanza mimi..!! Mrembo hujambo?
Ukioga tu maji ya bahari, hadi akina mzabzab utawaona..!! Achia mbali wengineWeee hapo kabla sijaoga, je nikioga hayo maji ya bahari itakuaje!!
Me niko poa kabisa kaka, nafurahi kukuona
Wewe ni mrembo haswaa. Mwenyenzi Mungu alitulia mno alipoanza kukufikiria, wakati wa kukuunda na umaliziaji wake.Tangia mwezi uanze sijaambiwa, nikaoge maji ya bahari
Ooh thank you jamaniWewe ni mrembo haswaa. Mwenyenzi Mungu alitulia mno alipoanza kukufikiria, wakati wa kukuunda na umaliziaji wake.
Mashallah!