Page 94
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 5,204
- 15,207
Haswaa!Ooh thank you jamani
Nami ni pisi kali, najiskia raha
Pisi Kali ya Msela.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haswaa!Ooh thank you jamani
Nami ni pisi kali, najiskia raha
Ndiwoooo😅Haswaa!
Pisi Kali ya Msela.
Kama mzuri mzuri tu. Hata usipoambiwa.
Weweni mtoto mubaya kabisa ndio tunawajua chibaba nyie tokea enzi za mwarimu nyie sio watru wazuri kabisaMi kwakweli maneno yote ya kusifia ninayowapa wanawake huwa hayana ukweli ni nyege tu ndo zinaniendesha nikishakubandua hutaskia tena hata nikikwambia nakupenda na hata kma niliwahi kukwambia we mzuri hapohapo naanza kukuona unafanana na mpoki
Mie nimefanyaje tena jamaniUkioga tu maji ya bahari, hadi akina mzabzab utawaona..!! Achia mbali wengine
Mbona unaandika kama m'Congo ? Una sauti nzuri sana ukiandikaWeweni mtoto mubaya kabisa ndio tunawajua chibaba nyie tokea enzi za mwarimu nyie sio watru wazuri kabisa
Kuna mijitu ina misura kama gas za mihan alfu trakoo kama kabeba kigoda.Tuambie wanadada basi mwezi huu umeambiwa mara ngapi u mzuri?
Tuambie😃🥰
Amesema kuwa lenie akioga angalie asikuone bafuni maana huchelewiMie nimefanyaje tena jamani
Sichelewi kufanya niniAmesema kuwa lenie akioga angalie asikuone bafuni maana huchelewi
Kuja mabafuni mwa wadadaSichelewi kufanya nini