kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,421
- 18,760
Unawakubali vipi.....?
Kwangu Mimi Hao ndiyo wadada ninaowakubali humu ww je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwangu Mimi Hao ndiyo wadada ninaowakubali humu ww je?
Point of correction, Mimi siyo mdada ni mwanaume
Na yna2 mkuu nilikusahauHao wako wewe..yeye ameandika wake
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Ww ndio mdada naekukubali
Ww ndio mdada naekukubali
Mkuu Mimi siyo mdada ni mwanaume sio mdada mkuu hivyo rekebisha kauli
Usijali mkuu wanaume nao wanapendwa vile vile[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi ni mwanaume mkuu sio wa kike
Mkuu, unatakiwa ujuwe kusoma mwandiko. Yaani watu wakibadili ID zao ujuwe kuunganisha kwa kuangalia mwandiko mzee!!Mbitiyaza