MillionHairs
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 803
- 406
- Thread starter
- #281
Nywele yangu ni laini na ndefu (6 yrs)
Ilivyofikisha miaka 3 nikuweka beautiful beginning ya box ile ya watoto (kwa ushawishi).... Lakini haikunipa matokeo mazuri, labda kwasababu ilikua ni mwanzo. Nilitumia ikaisha
Kwa ushaur wa salon nikabadili dawa nikawa naweka miadi pamoja na steaming ya movit.... Ikakubali balaa.... naretach kila baada ya miezi 3
Sasa nikapewa zawadi ya mega growth kuanzia dawa,steaming mafuta etc (ya box) hiyo steaming ni leave-in, nimeweka mara 2 na mpaka sasa natumia steaming yake na ile ya movit (zinapokezana)
Naomba ushauri, nitumie steaming gani ili nywele ijae zaidi?
NB:
Nasuka rasta , nabana , naziachia na kusukwa za mkono sometimes
Sijawah kuwa na tatizo la mba wala kuungua na dawa tangu nianze kuweka
Hii ndiyo hiyo treatment
