Wadada, niulizeni kitu chochote kuhusiana na huduma za salon, hair & nails

Wadada, niulizeni kitu chochote kuhusiana na huduma za salon, hair & nails

mimi nina tatizo la kukatika nywele. limenianza ss
hv. nimezoea kuweka wave ya movit. cku nilibadilisha nikaweka mwenyewe curl movit step 1. baada ya muda km wiki hv nikaona haijakolea nikaweka wave ndo tatizo lilipoanzia. nikichana nywele zinajaa kwenye chana. ss hv yaani nina kipara kikubwa tu kichwani. nimechanganyikiwa cjui nifanyeje. nataka nywele zisiendelee kukatika, nifanyeje?
 
Sorry wadau.. Ukitaka kufungua saloon ya kike, vitu gn n vya muhimu?
 
mimi nina tatizo la kukatika nywele. limenianza ss
hv. nimezoea kuweka wave ya movit. cku nilibadilisha nikaweka mwenyewe curl movit step 1. baada ya muda km wiki hv nikaona haijakolea nikaweka wave ndo tatizo lilipoanzia. nikichana nywele zinajaa kwenye chana. ss hv yaani nina kipara kikubwa tu kichwani. nimechanganyikiwa cjui nifanyeje. nataka nywele zisiendelee kukatika, nifanyeje?

Kama nimekuelewa…kulingana na ulichokielezea hapa. Ushauri wangu ni kuwa kata tu hizo nywele zako na zianze kuota upya. Vumilia tu kwani ndani ya miezi mitatu zitakuwa zimeota na kujaa.
 
Je unaweka wave nouvoux katika saluni yako? na ni sh ngapi unafanya?
 
Je unaweka wave nouvoux katika saluni yako? na ni sh ngapi unafanya?

Sina Salon…ila napresent salon zote na mambo ya urembo kwa ujumla. Bei ya kuweka Wave Nivoo siijui ila ukienda kwenye any professional salon utajuwa bei yake.

Karibu tena mpenzi wangu
 
Sorry wadau.. Ukitaka kufungua saloon ya kike, vitu gn n vya muhimu?

Unataka kutoa huduma gani na gani? Ni nywele peke yake au utakuwa na kitengo cha beauty clinic pia?...nijibu ili nikupe ushauri.
 
Nataka kumfungulia hiyo biashara mke wangu.. hiyo kitengo ya beauty clinic siijui kabisa. Msaada wako tafadhari. Vitu vya msingi vya kuanza navyo
 
View attachment 123948 View attachment 123950View attachment 123951

Wapendwa ndugu zanguni wa MMU hasa wadada...kama kunakitu au vitu vilikuwa ninakutatiza kuhusiana na swala zima
la urembo wa salon' basi chukua nafasi hii kuniuliza swali lolote lile linalohusiana na huduma za salon.

Hair Reluxer
Hair treatment
Hair special treatment
Misuko
Hair designing &
Beauty clinic (full package)

Je,unatatizo lolote la nywele zako za asili? Au unatatizo lolote la kucha zako za asili?

Yaliyo ndani ya uwezo wangu nitayajibu na yale ambayo yatakuwa nje ya uwezo wangu basi nitayaacha.


"UZURI UNAZALIWANAO ILA UREMBO NA USAFI WA MWILI UNAJIPA MWENYEWE"
nywele zangu ni kavu zikiwa hazina dawa zinakatika hasa pembeni mbele ila si ngumu na si laini, na nikiweka dawa hata nikiungua pembeni na kisogoni hazishiki ni kwa nini na nifanyaje?
 
Saloon kama hiyo mtu akitaka kuianzisha anatakiwa awe na mtaji wa sh ngapi?
 
nywele zangu kwasasa ni ndefu lakini naona hazikui tena ziko palepale nashindwa nifanyeje je nizikate ndo zikue zaidi ama nifanyeje? MSAADA
 
Dawa Ya Kuwasha Kwa Ngozi Ya Kichwa Iliyosukwa,nimeshatumia antidandruf ila daah hali tete,note ngozi sio chafu
 
nywele zangu kwasasa ni ndefu lakini naona hazikui tena ziko palepale nashindwa nifanyeje je nizikate ndo zikue zaidi ama nifanyeje? MSAADA

Je,zina reluxer? Na kwa kawaida uwa unatumia steaming gani? Naomba tuanzie hapa kwanza
 
Mimi nywele zangu ni ndefu hazikui tena natumia movit relaxer dawa ya nywele na steaming lorys sababu nina nywele nyingi kichwani
 
Nifanyeje ili zikue tena msaada na je kukata nywele ncha inasaidia nini?
 
yaani kama mtu anataka kufungua saloon ya kike ya kisasa mtaji unatakiwa uwe ni sh ngapi?

Okay...hapo kwanza itategemea location na pili muhusika anataka Salon au professional Salon? Hebu nijibu ili tuendelee
 
yaani kama mtu anataka kufungua saloon ya kike ya kisasa mtaji unatakiwa uwe ni sh ngapi?

Hebu kisia huyo mtu atahitaji square meter ngapi kwa hiyo biashara? Bila kusahau location
 
Back
Top Bottom