Wadada, niulizeni kitu chochote kuhusiana na huduma za salon, hair & nails

Wadada, niulizeni kitu chochote kuhusiana na huduma za salon, hair & nails

Nenda Asili salon…ipo opposite na Shopperz plaza Mwai kibaki road. Hawa ni wataalamu wa Natural hair

Nina ndugu yangu anataka kujifunza mambo ya salon kwa ujumla mf kuchana,make up n.k, je ni salon/chuo gani kizuri ambapo anaweza kujifunza, nijibu au pm.
Mimi nataka nifanye nywele zangu dreadlocks je salon gani naweza kwenda nzuri. Nina nywele ndefu sijaweka dawa ni za asili.
 
izo saloon zenu ndiko munakojifunza mambo mengi ya kifenenge kama vle kuchezewa0713....
 
Nimeipenda hii topic dada,keep it up.....swali langu,mie ni mnene na kwenye mapaja karibu na kwa bibi,ngozi imefifia na kuwa nyeusi....unafanya nini ngozi inakuwa sawa na the rest of the body?.........siwezi kufika hapo kama unaweza kunielekeza products please...ningekujia PM ila nimeona ni tatizo la watu wanene wengi.
 
Nimeipenda hii topic dada,keep it up.....swali langu,mie ni mnene na kwenye mapaja karibu na kwa bibi,ngozi imefifia na kuwa nyeusi....unafanya nini ngozi inakuwa sawa na the rest of the body?.........siwezi kufika hapo kama unaweza kunielekeza products please...ningekujia PM ila nimeona ni tatizo la watu wanene wengi.

Pole sana dada angu! Ni kweli hilo tatizo ni la wanawake wengi sana hasa wanene. Pia mimi ni ME na siyo KE.

Kama uwezo unaruhusu ningekushauri uende any professional salon na wakufanyie Sauna steam bath treatment...yatakiwa ufanyanyiwe mara mbili kwa mwezi kwa kipindi cha miezi miwili huku ukipaka cream fulani hizo sehemu zilizoathirika sana.
Nakuhakikishia ilo tatizo lako litaisha on time.

Bei ya hii huduma huko kwenye masalon mengine siijui ila Million Hairs Salon wanachaji Tshs 120,000 kila uifanyapo.
Usijiongopee kama unaweza kujifanyia hii huduma nyumbani...hii huduma inatakiwa ufanyiwe na wataalam hasa.

Jipange.
 
Pole sana dada angu! Ni kweli hilo tatizo ni la wanawake wengi sana hasa wanene. Pia mimi ni ME na siyo KE.

Kama uwezo unaruhusu ningekushauri uende any professional salon na wakufanyie Sauna steam bath treatment...yatakiwa ufanyanyiwe mara mbili kwa mwezi kwa kipindi cha miezi miwili huku ukipaka cream fulani hizo sehemu zilizoathirika sana.
Nakuhakikishia ilo tatizo lako litaisha on time.

Bei ya hii huduma huko kwenye masalon mengine siijui ila Million Hairs Salon wanachaji Tshs 120,000 kila uifanyapo.
Usijiongopee kama unaweza kujifanyia hii huduma nyumbani...hii huduma inatakiwa ufanyiwe na wataalam hasa.

Jipange.

ka nusu million hako lol nikichanganya na hizo products ...mnh ngoja nijipange....thanks.
 
Nywele zangu ni ndefu ila ni chache nimeshatumia stemming za aina nyingi ila tatizo liko pale pale,nikashauriwa niweke rangi haikusaidia,sasa hivi nimeshauriwa nitumie steaming aina ya infusium toka mwezi wa tano ila tatizo bado liko pale pale,steaming hii huingii kwa dryer je ni sawa? naomba msaada wako sana, nitafurahi mno ukinijibu na kunishuri kazi njema.
 
Nywele zangu ni ndefu ila ni chache nimeshatumia stemming za aina nyingi ila tatizo liko pale pale,nikashauriwa niweke rangi haikusaidia,sasa hivi nimeshauriwa nitumie steaming aina ya infusium toka mwezi wa tano ila tatizo bado liko pale pale,steaming hii huingii kwa dryer je ni sawa? naomba msaada wako sana, nitafurahi mno ukinijibu na kunishuri kazi njema.

Busy kidogo...I will be back
 
Natumia dawa ya nywele aina profective lkn naona nywele hazina maendeleo, naomba kujua dawa nyingine nzuri zaidi ya hiyo
 
Kucha zangu za miguuni zinaweka mstari katikati then zina katika tatizo ni nini na tiba yake ni nini
 
Nywele yangu ni laini na ndefu (6 yrs)
Ilivyofikisha miaka 3 nikuweka beautiful beginning ya box ile ya watoto (kwa ushawishi).... Lakini haikunipa matokeo mazuri, labda kwasababu ilikua ni mwanzo. Nilitumia ikaisha

Kwa ushaur wa salon nikabadili dawa nikawa naweka miadi pamoja na steaming ya movit.... Ikakubali balaa.... naretach kila baada ya miezi 3

Sasa nikapewa zawadi ya mega growth kuanzia dawa,steaming mafuta etc (ya box) hiyo steaming ni leave-in, nimeweka mara 2 na mpaka sasa natumia steaming yake na ile ya movit (zinapokezana)

Naomba ushauri, nitumie steaming gani ili nywele ijae zaidi?

NB:
Nasuka rasta , nabana , naziachia na kusukwa za mkono sometimes

Sijawah kuwa na tatizo la mba wala kuungua na dawa tangu nianze kuweka
 
Nywele zangu zina mba wengi ila hawawashi, sijaweka dawa kama miezi 7 ivi, natural hair, nitumie mafuta/dawa gani za mba? NB: natumia mafuta radiant
 
Mm nywele zangu zinakatika sana na zinakataa dawa sijui nifanyeje?
 
Nywele zangu ni ndefu ila ni chache nimeshatumia stemming za aina nyingi ila tatizo liko pale pale,nikashauriwa niweke rangi haikusaidia,sasa hivi nimeshauriwa nitumie steaming aina ya infusium toka mwezi wa tano ila tatizo bado liko pale pale,steaming hii huingii kwa dryer je ni sawa? naomba msaada wako sana, nitafurahi mno ukinijibu na kunishuri kazi njema.

Sorry for my late reply...jaribu kutumia steaming ya Profectiv Growth Renew ninahakika itakusaidia. Ukienda kufanyiwa huduma hii kwenye professional salon basi ni lazima watakuwanayo ila kama utaenda kwenye hizi salon za kienyeji basi make sure unaenda na hii treatment yako kwani hawawezi kuwanayo. inapatikana kwenye maduka yote ya S.H Amon.
 
Natumia dawa ya nywele aina profective lkn naona nywele hazina maendeleo, naomba kujua dawa nyingine nzuri zaidi ya hiyo

Umewahi kutumia dawa nyingine hapo kabla? Au hiyo Profectiv ndiyo ya kwanza? Kama umewahi kutumia nyingine' je ni dawa gani? Na mrejesho ulikuwaje?
 
Kucha zangu za miguuni zinaweka mstari katikati then zina katika tatizo ni nini na tiba yake ni nini

Mmmh!!? Ningeziona ingekuwa poa...maana sijui zimeathirika kiasi gani. Ninaweza kutoa ushauri ambao sio sahihi. No comment unless jipige picha kisha zitupie hapa.
 
Niliwahi kutumia beautiful beggining lakini nywele zikaanza kupukutika ndo nikaingia kwenye profective. Ilikua nzuri lakini nahisi kwa sasa naona imeanza kuchoka
 
Nywele yangu ni laini na ndefu (6 yrs)
Ilivyofikisha miaka 3 nikuweka beautiful beginning ya box ile ya watoto (kwa ushawishi).... Lakini haikunipa matokeo mazuri, labda kwasababu ilikua ni mwanzo. Nilitumia ikaisha

Kwa ushaur wa salon nikabadili dawa nikawa naweka miadi pamoja na steaming ya movit.... Ikakubali balaa.... naretach kila baada ya miezi 3

Sasa nikapewa zawadi ya mega growth kuanzia dawa,steaming mafuta etc (ya box) hiyo steaming ni leave-in, nimeweka mara 2 na mpaka sasa natumia steaming yake na ile ya movit (zinapokezana)

Naomba ushauri, nitumie steaming gani ili nywele ijae zaidi?

NB:
Nasuka rasta , nabana , naziachia na kusukwa za mkono sometimes

Sijawah kuwa na tatizo la mba wala kuungua na dawa tangu nianze kuweka

Sorry for my late reply...kwanza hongera kwa kuwa na nywele zenye afya na zisizo na matatizo. Ila ningekushauri utulie au utumie hair treatment ya aina moja...kuchanganya changanya ni kuzitafutia matatizo nywele zako.

Tumia steaming hiyo hapo chini kwa mwezi mara mbili ( ni yakuingia kwenye steamer)...ni mzuri sana.
 
Back
Top Bottom