Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiwez kumlewesha mwanaume4000
Mpaka 3500
N majanga mtupuWanaume wa Dar ni shidaaa
Wa Dar analewa hadi anatembelea magoti.....[emoji13] [emoji13] [emoji13]Haiwez kumlewesha mwanaume
Ukianza kupenda Mirinda Nyeusi uniite![]()
Wadada hatupendi vinywaji vikali na vyenye ladha kali au mbaya wengi tunafurahia uwepo wa savvana.
Nakipenda kinywaji hiki jaman nawakaribisha wadada wa Jf muanze kutumia.
Halafu mimi sio mnywaji....dance flow ndiyo ugonjwa wangu.Ijaribu unaeza kuipenda
Bado pale pale karibu na uwanja wa ndege?Karibu sana mkuuu
[emoji15] [emoji15] [emoji15] dar wote si wavulana joti alisema uanaume mwisho msataWa Dar analewa hadi anatembelea magoti.....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
[emoji12] [emoji12] [emoji12][emoji15] [emoji15] [emoji15] dar wote si wavulana joti alisema uanaume mwisho msata
Eee afadhali aseeHalafu mimi sio mnywaji....dance flow ndiyo ugonjwa wangu.
Nachezaga hadi matangazo ya DJ.
Matangazo ya DJ Sepetu huyu wa humu...[emoji15] [emoji15] [emoji15]Halafu mimi sio mnywaji....dance flow ndiyo ugonjwa wangu.
Nachezaga hadi matangazo ya DJ.
Na wanaume wa DarSavanna ya kike:!
HahahaWanaume wa Dar ndio kinywaji Chao hiko usiwakaribishe wadada wa jf tuu pekee.
HahahaWanaume wa Dar ni shidaaa
HahhaaLadha ya savanna na saint Anna huwa naona zinaelekeana...hazinivutii
Japokuwa sijawahi kunywa mikojo,ila huwa nahisi zina ladha ya mikojo
Napenda zaidi amarula
Hahhaha:! Umewahi kunywa kilevi kinachotengezwa na miwa!! Karibu tanga japo sio kwetu:! Kina ladha ya savanna na saint anna ila baada ya hapo inatoka gongo hatari mdomoni ni miwa tu ila.....,,,,,!!!! Mda wa kuondoka bar ndio utasimuliaHujaweka angalizo.
Alcohol abuse is dangerous.
Only for those over 18.
Na muhimu zaidi mujinunulie. Vyuma vimekaza.