Wadada tunaopenda savvana tukutane hapa

Wadada tunaopenda savvana tukutane hapa

Heee!yani kunywa mara mbili kwa mwaka ni mbaya?
Mm sitaki kusikia my woman anakunywa pombe. Maana mm pombe situmii af mapombe ni machungu sana. Nikimuona gal anakunywa pombe naona ni mwanamke mwenye roho ngumu na mbaya. I can't entertain her
 
Haha...
Na wewe ndiyo zako nini ukishaingia Dance flow hauambiliki
Hapana aiseeh ila nimemkumbuka rafiki yangu mmoja alikuwa anapenda kuingia dancing flow akiwa na mdogo wake wanacheza balaah wameshalewa kutoka hawataki mpaka watolewe jamani pombe hizi, basi dj nae kwakuchombeza eti haya Kaka kamatia uno la mpenzi wako ahahahaaaaaa wakati ni Kaka na dada.
 
Hapana aiseeh ila nimemkumbuka rafiki yangu mmoja alikuwa anapenda kuingia dancing flow akiwa na mdogo wake wanacheza balaah wameshalewa kutoka hawataki mpaka watolewe jamani pombe hizi, basi dj nae kwakuchombeza eti haya Kaka kamatia uno la mpenzi wako ahahahaaaaaa wakati ni Kaka na dada.
Hahah... Niitie espy basi [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji1]
 
Mm sitaki kusikia my woman anakunywa pombe. Maana mm pombe situmii af mapombe ni machungu sana. Nikimuona gal anakunywa pombe naona ni mwanamke mwenye roho ngumu na mbaya. I can't entertain her
Amarula sio chungu,sinywagi pombe
 
Viwanja kadhaa navyopita kwa sasa naona wadada wengi wanaopendelea bia ukiachana na wapendelea wine, wamehamia kwenye Serengeti light na si Redd's tena.

Ila kuna bia moja inaitwa DESPERADOS nakushauri uijaribu hiyo ipo viwanja vichache kwa hapa bongo ila sehemu yeyote classic hawakosi hiki hususani wanapofika wazungu wazungu.

Ilitaka kupita humo humo kwenye Redd's , Savannah na St. Anna ila hii itakufaa na utaipenda.
Whindoeck pia umesahau
 
Hapana aiseeh ila nimemkumbuka rafiki yangu mmoja alikuwa anapenda kuingia dancing flow akiwa na mdogo wake wanacheza balaah wameshalewa kutoka hawataki mpaka watolewe jamani pombe hizi, basi dj nae kwakuchombeza eti haya Kaka kamatia uno la mpenzi wako ahahahaaaaaa wakati ni Kaka na dada.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom