Mhh okNaipenda carnival imetulia sana malaika kiasi
Nimeamka kujimwagia maji joto kali had nimekosa usingiz we mbna hujalalaMkuu hujalala bado unatumia heineken
Kwa nini mademu wengi wanapenda kunywa Savanna
Wadada hatupendi vinywaji vikali na vyenye ladha kali au mbaya wengi tunafurahia uwepo wa savvana.
Nakipenda kinywaji hiki jaman nawakaribisha wadada wa Jf muanze kutumia.
Kwa nini mademu wengi wanapenda kunywa SavannaWanaume wa Dar ndio kinywaji Chao hiko usiwakaribishe wadada wa jf tuu pekee.
Kwa nini mademu wengi wanapenda kunywa SavannaWanaume wa Dar ni shidaaa
Kwa nini mademu wengi wanapenda kunywa SavannaLadha ya savanna na saint Anna huwa naona zinaelekeana...hazinivutii
Japokuwa sijawahi kunywa mikojo,ila huwa nahisi zina ladha ya mikojo
Napenda zaidi amarula
Kwa nini mademu wengi wanapenda kunywa SavannaViwanja kadhaa navyopita kwa sasa naona wadada wengi wanaopendelea bia ukiachana na wapendelea wine, wamehamia kwenye Serengeti light na si Redd's tena.
Ila kuna bia moja inaitwa DESPERADOS nakushauri uijaribu hiyo ipo viwanja vichache kwa hapa bongo ila sehemu yeyote classic hawakosi hiki hususani wanapofika wazungu wazungu.
Ilitaka kupita humo humo kwenye Redd's , Savannah na St. Anna ila hii itakufaa na utaipenda.
Kwa nini mademu wengi wanapenda kunywa SavannaThis weekend karibu,vinywaji juu yangu mkuu.
Kwa nini mademu wengi wanapenda kunywa Savanna[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]acha ubahili mkuuu
Kwa nini mademu wengi wanapenda kunywa Savannami nakunywa maji tu
Kwa nini mademu wengi wanapenda kunywa SavannaWanawake mkiitwa mnafika ndani ya muda, haya endeleeni na uzi wenu
Kwa nini mademu wengi wanapenda kunywa SavannaOky mamy karibu kwenye chama
Kwa nini mademu wengi wanapenda kunywa SavannaHayo madude yanawakausha papuchi na kutoa harufu mnaishia kupigwa na kukimbiwa mkibaki kutafuta mchawi nani.
Kwa nini mademu wengi wanapenda kunywa SavannaEwaaa!zanzi na amarula ni kama ndugu..ni nzuri kwa kweli
Kwa nini mademu wengi wanapenda kunywa SavannaPia kuna nyingine inaitwa sminoff ice nayo nzuri sana jamani ...
Kwa nini mademu wengi wanapenda kunywa SavannaNa safari ndogo
Nikiona dume linakunywa Savannah au Redds huwa nalihisi ni punga
Hii ni kinywaji gani mkinywa mnalegea na kuwa romantic?
Nilikuona mahali mida flani hivi.....
Ebu ngoja nimalizie kinywaji changu hapa Rose Garden, then nikuje hapo...[emoji39] [emoji39]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]inaongeza msisimko ukiwa na Baby wako inakausha wapi huo ni wivu wako
Naskia mkinywa hicho kinywaji mnapandwa na nyege, ni kweli??
Nilikuona mahali mida flani hivi.....
Ebu ngoja nimalizie kinywaji changu hapa Rose Garden, then nikuje hapo...[emoji39] [emoji39]
Utakua unapenda mgegedo after drinking sio bure
Amarula......[emoji15] [emoji15]
Kumbe ndiomaana......[emoji23] [emoji23]
Kawaida tu
Safi sana.....
[emoji7][emoji23] eti DESPERADOS kweli wee utakua mtaalam wa viwanja bado kuna moja inaitwa AMSTEL BEER Ni shidah
Ila Serengeti lite imeharibu soko la imported beer
Ebu malizia hapo
[emoji177][emoji177][emoji177]vyuma vimekaza ukienda kunywa watu wanakushangaaa saivi
Ohooo
Mmh pole dear ila inakiharufu chake hiviii hakina jinaa.....Savanna sijaizoea ila saint anna nilishakunywa mara nyingi ila imenishinda asee
Halafu nimekumiss
Saaana maana unajiachia tuuuu[emoji39] [emoji39] mashetani ya kikurya yatapandaa[emoji125] [emoji125]Tena uwe na baby hatari sana mamy
Na vitambi wanamuachia nani? au wewe dada yangu (kwetu vitambi ni ufahari)Vyuma vimekaza wadada wanakunywa kilimanjaro ndogo za 1500 [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji37][emoji37][emoji37][emoji37]
Duhh.....Uwanja wa ndege upi tena mkuuu