Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

🤣🤣🤣niliacha kwenda huko baada yakuona pichazao ni mbaya mbayatuu.nifanyie wepesi mkuu Kama nimweupe lakini Mana kule niweusi tupu🤣🤣🤣
Keupe keupe
Kana tako la kunyunyiza kwa mbaliiii

Kiufupi ni petite ....kazi kwako😅
 
Hakuna jambo la hatari mno kama kukuta watoto wa kiume wanapiga soga za umbea-umbea na watoto wa kike, hasahasa kuhusu maisha yao binafsi ya mahusiano. Ubaya zaidi wanamtuma mtoto wa kike kuja kuwasemea. Noma sana yani....

Halafu ninyi matajiri wa Jamii-Forums huwa mnashida sana. Hapa jukwaani huwa hamuachi majigambo. Mara kuishi Marekani, Ulaya, mko ofisi kubwa ,mna elimu nzito, na mifuko yenu imetuna mapesa.

Sasa mabinti wakianza kuwafuata huko PM kuwatandika vizinga au mkashindwa kumalizana vizuri huko nje, huwa mnarudi hapa jukwaani kuchafuana na kuanikana. Kwanini mambo yenu ya faragha msiyamalizie huko huko nje au PM. Yaani kila kitu chako binafsi lazima uje ukianike humu ???

NB: Kama huu uzi una ukweli, basi watoto wa kiume wamefika pabaya mno. It smacks a bad taste...
Umeawavua nguo matajiri wa JF, sisi maskini huwezi sikia tunafuatwa PM maana wanajua fika wataishia kupewa ahadi hewa, all in all kila mtu anatamani kuwa na maisha mazuri.

Hivyo siwashangai dada zangu hawa, niwasisitize tu wawe makini na hao wanaowafuata PM, maana nimejisikia vibaya kuona wakidhalilishwa kwenye huu uzi.
 
Yaani, umenena haswa.
Wanawake wamezidi.
Mizinga kwa wengine ndiyo sehemu ya maisha.
Huwezi kusema wanajiuza . lakini kwa mizinga hadi inakera.
Kabla ya Chrismas ilibidi nizime kabisa simu.
Mwanamke hata uliyewahi kumkonyeza analeta furushi la matatizo yake.
Mwingine anataka umlale hata kwa yeye bibie kukutongoza ili apate mahali pa kuomba.
Ukimtolea nje utaona tu anahmia kwa mwingine.
Jana tu nimepata ujumbe , mtoto ana birthday(si wangu)
Mwingine anomba hela ya kodi ya nyumba
Mwingine anaomba ada ya watoto(si wangu)

Mwingine ndo kaniudhi,kaandika "we mwanaume naomba hela nina shida"

Wanawake sijui watajikomboa lini!
50/50 inayotafutwa sijui ni ipi ila twendeni tu tutafika Kila mtu na mwendo wake
 
Umeawavua nguo matajiri wa JF, sisi maskini huwezi sikia tunafuatwa PM maana wanajua fika wataishia kupewa ahadi hewa, all in all kila mtu anatamani kuwa na maisha mazuri.

Hivyo siwashangai dada zangu hawa, niwasisitize tu wawe makini na hao wanaowafuata PM, maana nimejisikia vibaya kuona wakidhalilishwa kwenye huu uzi.
Wanachokifanya watoto wengi humu ndani ni upumbavu.
 
Unamtongoza mtt wa watu anakuomba pesa ww unaona ni kujizalilisha sasa ulitaka akamuombe nan

Wanaume mda wa kukaa na kulalamika ushapitwa na wakat huwezi kuonga au huwez kutoa pesa nazan itapendeza ukitafta malaya mkafanya yenu zen mkaachana

Ukitaka mtoto mzuri na utakae mcontrol lazma uhudumie na lazma uhonge
Yuzeles ladi.. Na muwe tayali kumegwa na kuachwa.
 
Huyu aliyeanzisha huu uzi ni mtu mzima lakni tena ana umri wa miaka 41, huwenda katika story zao kinywaji kilikuwa kimekolea hivyo wakajikuta story zinahama na kuwa za umbea.

Huwenda mwisho wa story hizo wakaishia kulana kimasihara.
Aise
 
Back
Top Bottom