Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

🤣🤣🤣niliacha kwenda huko baada yakuona pichazao ni mbaya mbayatuu.nifanyie wepesi mkuu Kama nimweupe lakini Mana kule niweusi tupu🤣🤣🤣
Keupe keupe
Kana tako la kunyunyiza kwa mbaliiii

Kiufupi ni petite ....kazi kwako😅
 
Umeawavua nguo matajiri wa JF, sisi maskini huwezi sikia tunafuatwa PM maana wanajua fika wataishia kupewa ahadi hewa, all in all kila mtu anatamani kuwa na maisha mazuri.

Hivyo siwashangai dada zangu hawa, niwasisitize tu wawe makini na hao wanaowafuata PM, maana nimejisikia vibaya kuona wakidhalilishwa kwenye huu uzi.
 
50/50 inayotafutwa sijui ni ipi ila twendeni tu tutafika Kila mtu na mwendo wake
 
Wanachokifanya watoto wengi humu ndani ni upumbavu.
 
Yuzeles ladi.. Na muwe tayali kumegwa na kuachwa.
 
Huyu aliyeanzisha huu uzi ni mtu mzima lakni tena ana umri wa miaka 41, huwenda katika story zao kinywaji kilikuwa kimekolea hivyo wakajikuta story zinahama na kuwa za umbea.

Huwenda mwisho wa story hizo wakaishia kulana kimasihara.
Aise
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…