Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah kumbe tupo wengi tunaipigwa mizinga na huyu demu wa Dodoma......Najuta sana kumpa namba yangu ya simu.....ila ni katamu balaa
😂😂😂Sema WA-ABUJA😅
Acha tu🙆🏼♂️🙆🏼♂️😂😂😂
Wamewapumzisha watoto wa Amos Makala naona, sasa ni 'mudaaa weetu'...!🎧
Watoto wa Makao Makuu sisi ni mti wenye matunda,Watoto wa Dodoma matopeni tena😂😂😂
mh wee sijawahi kuona kapicha kako🤣🤣nisaminishe bas😂😂😂😂😂😂😂
Jizaazi nilikuwa sijaona hii comment, sisi ni wabaya hivi na hamtuambii jamani..?? Sijapenda...!!
Hivi una guts za kutoa hata 50K kwa mwanaume kweli?Jamani Naz naomba uguse na wale wanaume wapiga mizinga
Oooh ni assist na laki 2 hornet kuna deal nafanya nakurudishia siku mbili hizi hizi
[emoji706][emoji706]
Watoto wa Makao Makuu sisi ni mti wenye matunda,
Kwann anitaje Sasa kwani kosalangu kukaa Dodoma nae si ahamie tu tujue moja😂😂😂Kama chupiyngu imetoboka nisiombe😏Dear Ukisikiaaa yalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ujue limempata hahaha! Sio kwa kichambo hikiiio😂😂😂😂!
sophy27 Mdogo wangu ushapita pandee hii!!
Me huwa sipigi picha kabisa ndugu yangu..!! Kwa sura ipi..?mh wee sijawahi kuona kapicha kako🤣🤣nisaminishe bas
😂😂Dah kumbe tupo wengi tunaipigwa mizinga na huyu demu wa Dodoma......Najuta sana kumpa namba yangu ya simu.....ila ni katamu balaa
Watu washaleta habari za 'ila kalikuwa katamu' mizinga wataachaje kupigwa..!?Sasa ndo mpige mizinga hivyo? Ila mbona karembo kangu hakako hivyo, au bado sijaingia kwenye system?😅😂😂
sana wanaomba balaaSio Vizinga tu, yani Mdada awe wa JF awe wa Kitaa ukimuomba tu namba (anajua unamtaka)
Ukimuita (anajua unamtaka) kumbe sazingine humtaki yeye unataka akusaidie mambo Flani maana ushawahi muona Mahali... (lenyewe linajua unalitaka)
Midada ya siku hizi ni ya hovyo na ndio mana Haiolewi,Haina Kazi.
Vizinga ndio kabisaaa, Halafu ubaya au uzuri wadada wa siku hizi AIBU hawana yani mishipa ya aibu ishajifia.
Halafu unafikiri ni wadada wasio na kazi ndio wenye hizi tabia za OMBA OMBA tu!?
Nikiita wadada nakosea hadi wake zetu nao pepo la omba omba limewakumba yani kukupa sababu ya kipumbavu ili tu umpe hela ni kawaida.
inshort am tired na hii jinsia "KE"
Mbona unawahi hivyo kujisalimisha?😂Me huwa sipigi picha kabisa ndugu yangu..!! Kwa sura ipi..?
😂😂Ila mwanamke kuja kumuandikia Uzi mwanamke mwenzio ni ushamba ningeona busara kwakuwa anamfahamu angemfata tu akamuelekeza kumstiri kheri uyo dada kuliko wew na Hao wanaume wote wamsimulie yeye inatia shaka sanaDear Ukisikiaaa yalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ujue limempata hahaha! Sio kwa kichambo hikiiio😂😂😂😂!
sophy27 Mdogo wangu ushapita pandee hii!!
😂😂😂ikapita week kakanitafuta eti hello why upo kimyaa...nkamwambia njoo geto 😀 😀 😀
Navyochukia aibu, umuoneshe mtu picha atupe simu ivunjike kwa mshtuko, akuu..!!Mbona unawahi hivyo kujisalimisha?😂
Humu ukipiga kizingaa jua tyu lazima nawe utoeeeee papaaaa tena ukikaa vibaya utaliwa hadi matak mbona khakhakhaaaa!! Mahusiano Humu ni two way traffic banaaa ukipiga kizinga nawe wapigwa papaa😂😂😂😂