Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Usijali ndugu tujue tu adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie aisee nitakuita unibless japo tumeambiwa sura kama vibomporiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kichambo kiendelee
😁😁😁🀣🀣🀣🀣 kila Mtu ashinde Mechi zake wasitupangieeeeee Kwani wao Mungu??? watuwache tujuselfii na sura zetu ivoivooooo 😁
 
Nitapita jioni nikupeleke tena kule duniani ila usinitukane sawa..??

Naona Makao Makuu tumepunguza dhambi tumepata kimvua pia walaqhi'...!!

Siamini kama leo hutaki kutukanwa, ila nitajitahidi kwakua utakuwa ni mgeni wangu.

Mkiacha na uomba-omba uliosemwa na mleta mada, ukame utaisha kabisaπŸ˜„.
 
😁😁😁🀣🀣🀣🀣 kila Mtu ashinde Mechi zake wasitupangieeeeee Kwani wao Mungu??? watuwache tujuselfii na sura zetu ivoivooooo 😁
Kwanza mbinguni tutapewa mwili mpya na sura mpya why tuteseke hapa dunianiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ila huu Uzi uko biased Sana,kwani hao wanaume wanaendaga PM za wadada kuomba Nini? wanaume waache kuombaomba mbususu za wadada matokeo ndio hayo na wadada wanapiga vizinga... Halafu wanaanza kulalamika
Labda huwa wanapiga vizinga ila mbususu hawatoi, hebu tujaribu kufikiria nje ya box kidogo.
 
Ndriiooooooo ndriiooooooo!!
Binafsi somo limeniingia na nimelielewaaaaa😘😘😘!πŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘Œ
 
Hao watu wa muhimu ndio wakoje Mkuu?????
 
Au ndio huyo alieandikiwa UziπŸ˜‚
 
Labda huwa wanapiga vizinga ila mbususu hawatoi, hebu tujaribu kufikiria nje ya box kidogo.
Ndio watulie,maana wengine mkute hata wanatongoza wanaume wenzao,maana humu watu Ni Anonymous mnatongoza Avatar ukute mtu anajifanya mdada kumbe ana shughuli zake za utapeli......binafsi ukija kunitongoza PM nitakupigia tu mzinga utanikimbia mwenyewe
 
Badilikeni. Baada ya mimi kutoa uzi wa kuzinguana na mke wangu, kuna dada alinifuata PM kwamba ananionea huruma sana kwa hali ninayopitia

hee watu wako siriaz hivyo 🀣
 
Siamini kama leo hutaki kutukanwa, ila nitajitahidi kwakua utakuwa ni mgeni wangu.

Mkiacha na uomba-omba uliosemwa na mleta mada, ukame utaisha kabisaπŸ˜„.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mwanamke akisema hapana anamaanisha ndiyo, sasa acha ujionee tofauti na Vodacom..!!

Haha..
Kama kipaji pekee tuko nacho ni kuomba je.? Jasiri haachi asili na akiacha asili hana akili..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…