Watakuwa wamekusikia..Waache hiyo tabia ya kujirahisisha, shida zipo hatukatai ila kumlilia kila mtu shida ni ujinga.
Habari yako, hujambo?
sikujua kuwa nawewe upo kuleπ€£kumbe Kuna warembo wengituuπIla G Mungu anakuona ujue π€£π€£π€£! Ule Uzi tumekukosea nini kha!!
Umetuchambaje walai Ussshhhhuuuuunggguuuuuu π
Sasa maswali gani Tena hayo?ukipata lazima uwe na chawa njoo faster PMIli nikizipata nije DM kwako?
Mie sina hela ndomaana siji hukoπ .
Mimi huyu huyu mr.Blessed πWeka sasa namba hapa nikutumie hela Mkuu.
Sasa maswali gani Tena hayo?ukipata lazima uwe na chawa njoo faster PM
KweliπManake ncheke kwanza humu Wanaume wapiga vizinga mbona wapo sio wanawake peke yao π¬π€£π€£π€£
Unanipaka mafuta kwa mgongo wa chupa sioo sawa tyuuuπ!!sikujua kuwa nawewe upo kuleπ€£kumbe Kuna warembo wengituuπ
Mwenyezi akuzingatie Sana hustle zako!Ngoja nikazitafute sasa, nitakuja.
ππππSasa unadhani ningeacha? Nilikuwa nakutega tu, na umejaa kwenye mtegoπ
Ndio Mkuu. Wasiwasi wako ni upi? Sina hicho kiasi au sina huo moyo Mkuu?Mimi huyu huyu mr.Blessed π
Haki vile mpendwaπ€£π€£Kweliπ
Vyote unavyo.hongeraNdio Mkuu. Wasiwasi wako ni upi? Sina hicho kiasi au sina huo moyo Mkuu?
Unanipaka mafuta kwa mgongo wa chupa sioo sawa tyuuuπ!
nampa kabla hajaniomba ataomba kwa ishu ambayo ni extra, mwanaume ni muhimu kuyajua na kuyatekeleza majukumu yako.Watakuwa wamekusikia..
Habari yangu ni nzuri.sijambo kabisa ni namshukuru Mungu.
Vipi mkuu wewe unampa wifi yetu pesa bila kuombwa,,au ni mpka aanze kutangaza njaa ndipo uumpe
π€£π€£π€£π€£Tuma kwani vochaaa na afutatu, afu utaona tunashinda PM kutwaa nzima.
ππππ
Kama umenicheka tu, hiyo dhambi husamehewi nakuambia..!!
ππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈππΌββοΈNimekuogopaa weeeehhh! ππsema sijawahi kuona kapicha kakoπniwezeshe basi
Dah..wanaume kama wewe mpo wachache sana.nampa kabla hajaniomba ataomba kwa ishu ambayo ni extra, mwanaume ni muhimu kuyajua na kuyatekeleza majukumu yako.