Ni kweli kabisa.na Mungu hufungua milango mingi ya Baraka juu yako..tena hukulinda na hatari nyingi mpka inafika sehemu unajiuliza hivi hapa nilichomokaje jamani😁😁unakuja gundua ni huruma ya Mungu tu pekeeyako huwezi
Mimi nimeshawahi ku survive 4 deadly car crash accidents. Hadi nimegongwa na treni lakini sikuumia hata kidogoNi kweli kabisa.na Mungu hufungua milango mingi ya Baraka juu yako..tena hukulinda na hatari nyingi mpka inafika sehemu unajiuliza hivi hapa nilichomokaje jamani😁😁unakuja gundua ni huruma ya Mungu tu pekeeyako huwezi
Muda si mrefu nimempigia kaka yake, nimeongea naye. Kaniambia pia anavuta bangi, nimemweleza kwamba tumpeleke rehab, kaniambia atamwita leo aongee nayeTafadhali mtafute ndugu yangu..fanyika kuwa daraja katika maisha Yake Kwa mara nyingine tena na Mungu atakubariki.
Goodmorning Bujibuji Simba Nyamaume
wewe dada wa lindi naomba niseme kuwa najitolea mifuko miwili ya cement kwa ajili ya ujenzi wa sanamu lako 😁😁😁..Jana wana JF kadhaa wenye club yetu fulani hivi amazing tulikuwa tumekutana The Wine Coutry kwa ajili ya kuukaribisha mwaka mpya wa 2023.
Wanawake tulikuwa wawili tu, mimi na bidada mwingine na wanaume idadi yao ilikuwa kumi na kitu.
Jamani miongoni mwa mambo ambayo wanaume wanayaona ni kero ni swala la kupiga mizinga.
Wanawake tena mmetajwa kwa majina ambao mnashinda inbox mki zingalaizi. Mara mama anaumwa, mara dada kagongwa na bodaboda, mara nitumie hela ya kusuka nywele mara sina ada ya watoto.
Jamani kwa kweli mnahoyafanya huko PM aibu nimeona mimi. Ukitongozwa ndio usiseme. Hata kama una kazi ya ajira, tena mwajiriwa wa serikali, unaomba kuanzia vocha hadi hela ya chupi.
Wewe uko Dodoma mwanaume yuko Dar hajawahi hata kukulala zaidi ya kuonana mara moja na tena ulikuwa kwenye siku zako.
Nimekutaja wewe dada wa Dodoma sababu umekuwa na tabia ya kuwatongoza wanaume na baadae unaanza kuwa kero kwao na mizinga unayowapiga.
Jamani nawakaribisha Lindi tulime ufuta mbona kilimo poa tu, unapata hela ya kukukimu na huadhiriki.
2023 tubadilikeni jamani
Mkuu uzi umekupenda ninaona unaenda nao sawa.Wewe sasa😄😄
Nafikiri siko katika kundi la wanawake wapiga mizinga.eyoo cowboy yeyooooo😄😄Mkuu uzi umekupenda ninaona unaenda nao sawa.
Sijajua sasa Mkuu. Uliotoka nao watatupa ushuhuda.Nafikiri siko katika kundi la wanawake wapiga mizinga.eyoo cowboy yeyooooo😄😄
Hakuna mtu atakuja hapa kusema chakorii anapiga watu mizinga.ninauhakika 💯Sijajua sasa Mkuu. Uliotoka nao watatupa ushuhuda.
Mkuu usiseme hivyo. Huwezi kukumbuka yote. Wewe hayaHakuna mtu atakuja hapa kusema chakorii anapiga watu mizinga.ninauhakika 💯
Tuanze na wewe.nilishawahi kukupiga mzinga?maanake tusizunguke sanaMkuu usiseme hivyo. Huwezi kukumbuka yote. Wewe haya
Chakorii ni mteuleHakuna mtu atakuja hapa kusema chakorii anapiga watu mizinga.ninauhakika 💯
Noble womanTuanze na wewe.nilishawahi kukupiga mzinga?maanake tusizunguke sana
Hebu kuwa siriazi basi bujiMimi nimeshawahi ku survive 4 deadly car crash accidents. Hadi nimegongwa na treni lakini sikuumia hata kidogo
Nakwambia ukweli mno.Hebu kuwa siriazi basi buji
🤩 kumbe mawasiliano ya kumpata unayo 😍😍…Mungu ni mwema sana.Muda si mrefu nimempigia kaka yake, nimeongea naye. Kaniambia pia anavuta bangi, nimemweleza kwamba tumpeleke rehab, kaniambia atamwita leo aongee naye
Naweza kufanya utani kwenye chochote, lakini sio kwenye kujinenea mabaya. Maneno yamebeba roho yenye uhai. Unalolinena litakuwaHebu kuwa siriazi basi buji
True, utakuwa umehusika parefu. Moyo wangu ulishaingia baridi juu yake na maisha yake. Nilikuwa nimemfuta kabisa, wewe ndio umemfufua🤩 kumbe mawasiliano ya kumpata unayo 😍😍…Mungu ni mwema sana.
Maskini kama kaanza na bangi hivi Unga Uko mbali nae kweli🥺so sad.
Mtafute jamani🥹🥹
Huyo dada akirudi kwenye mstari ninaimani nitakuwa nimehusika Kwa namna moja ama nyingine katika kumsaidia.
Maisha n haya haya hatujui Kesho yetu ikoje.
Nitakuwa nakusumbua huku jf juu ya maendeleo ya huyo dada nakuomba usinichoke ndugu yangu
Watu huwa hawajui kwamba, maneno unayomuambia mtu kama ni ya uongo unapata laana kama huyo mtu atakunenea mabalaa.Yawezekana masononeko ya mama ndio yaliyomfikisha alipo sasa.msaidie jamani🥺
Nimekuamini buji.hakika Mungu ni mwemaNaweza kufanya utani kwenye chochote, lakini sio kwenye kujinenea mabaya. Maneno yamebeba roho yenye uhai. Unalolinena litakuwa