Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

AIseeeeee.
 
Mwanamke anatakiwa kuudumiwa hao wanaolalamika nazan hawajui wajibu wao

Wakitaka vyabure mazan waoe wake zao ndo wawape vya bure au watafte malaya wa kununua bas

Utaki kuonga nunua malaya inatosha
 
Mwanamke anatakiwa kuudumiwa hao wanaolalamika nazan hawajui wajibu wao

Wakitaka vyabure mazan waoe wake zao ndo wawape vya bure au watafte malaya wa kununua bas

Utaki kuonga nunua malaya inatosha
Hatukatai mnatakiwa kuhudumiwa

Ndio hata papuchi msitupe yaan tuwape tu bila kutoa huo si utapeli?
 
Kuna wengine humu ndio sehemu yao yakupatia bando, kula, kuvaa, na starehe nyingine nawana gongwa sana.

🤣🤣🤣kuna washikaji humu wanahonga vocha hadharani ili wakitupia voko wasikataliwe wanawala Sana🤣Kuna washkaji wanna weka picha zamiburungutu ya hela wanawala sana. halafu Kuna washikaji wao hawajawahi kukoment kitucha maana Wala kuanzisha uzi kazi yao nikupoint demu wanae mtaka nakuchati nae kidogo halafu wanahamia pm hawa washkaji wamwisho wanawachamganya mademu wote kuna mademu marafiki wameliwa wote nahawa washkaji nawana honga balaa.

Kwahiyo shida sio hawa wanawake shida nihawa washkaji🤣halafu kuna washkaji wanajifanya wataalamu asili wamagonjwa nao wanatumia njia hio kuwala nawame Wala wengi kwasababu mademu wengi wanashida humu wanajalibu kwenda kupata tiba 🤣washkaji wenyewe nimatapeli tuu hawana utaalamu wowote🤣
halafu mademu wanao ongoza kunasa kwa hawa washkaji wote ni walimu nawana vyuo🤣namanes kidogo.

Ila walimu ndio wameshika hatamu.
mwisho nimalize kwakusema...kila mtu afanye anacho weza bali Mimi Nina waona nawaangalia tuu. cc..........
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaaaaah!!!!
 
Kwenye ule uzi...??
😅😅
 
Unamtongoza mtt wa watu anakuomba pesa ww unaona ni kujizalilisha sasa ulitaka akamuombe nan

Wanaume mda wa kukaa na kulalamika ushapitwa na wakat huwezi kuonga au huwez kutoa pesa nazan itapendeza ukitafta malaya mkafanya yenu zen mkaachana

Ukitaka mtoto mzuri na utakae mcontrol lazma uhudumie na lazma uhonge
 
Ongeza sauti puliiiiiz.
 
w
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaaaaah!!!!
wee mchumba mbona nakupoteza Sana kwenye rada zangu🤣🤣🤣au nawewe unashinda pmni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…