Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikua ni utani pia ukajaa😂😂😂Aaah lile mpenda pesa?🤣🤣
Ndg yangu Glenn napenda kutaniana tu na wanadamu.
Nisamehe bure mama pesa🤣
Najua Dodoma ni mkoa ila kama kuna maana nyingine basi sifahamuSc nawe ni wa Dodoma ndg yangu?
Cha ajabu sasa, nchi enyewee ni omba omba. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila nchi yenyewe omba omba unategemea wananchi tuweje! Mtupe tu hizo hela[emoji23]
Utani hujibiwa kwa utani ndg yangu.Ilikua ni utani pia ukajaa😂😂😂
Tuachane na hayo.Najua Dodoma ni mkoa ila kama kuna maana nyingine basi sifahamu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wadada left the chat[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na nyie wababa msiombe mbususu[emoji1787]
Ila kuna wenzetu aisee ni kama viwete mtu anaomba elfu tatu. Jamani af tatu kweli? Nlivojitolea kuwatetea ila hapana kwa hili namimi nakaa pembeni. Mdada anacheza michezo na hana kazi. Ikifika siku ya rejesho keshategesha vizinga kama tisa hivi kote anaomba af mbili mbili aibu naonaga mimi
Cocaa Cocaa Cocaa Cocaaa nimekuita mara 4 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kama unapiga mizinga achaaaa, mpaka akupe mwenyewe. Mwenzako siombi hela ya mwanaume shauri zako. cocasticdear, dear, dear nimekuita mara 3!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Em achaaa hizo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumekuchaaaaaa!!! Wadada wa mwanza wameachwa wapumue sasa. Lol
JF ni pori sio kichaka tena. Uwiiii
Awaleteee hapa harakaa sanaaa.Jamani Naz naomba uguse na wale wanaume wapiga mizinga
Oooh ni assist na laki 2 hornet kuna deal nafanya nakurudishia siku mbili hizi hizi
[emoji706][emoji706]
Peace mtu wangu🤗Utani hujibiwa kwa utani ndg yangu.
Mimi hadi nijae ni ngumu mno😂😂
Zaidi wewe utajaa ukijua mimi umeniweza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena ndo ningekua mie, wallah ningetajwwaa hapa wazi wazi.We kichwa jibu pm, au unaogopa vizinga? [emoji23][emoji23][emoji23]
Dear tatizo nyotaaaa, hatufanan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cocaa Cocaa Cocaa Cocaaa nimekuita mara 4 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama unapiga mizinga achaaaa, mpaka akupe mwenyewe. Mwenzako siombi hela ya mwanaume shauri zako. cocastic
Eeeh tunarithi tabia ya nchiCha ajabu sasa, nchi enyewee ni omba omba. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jana wana JF kadhaa wenye club yetu fulani hivi amazing tulikuwa tumekutana The Wine Coutry kwa ajili ya kuukaribisha mwaka mpya wa 2023.
Wanawake tulikuwa wawili tu, mimi na bidada mwingine na wanaume idadi yao ilikuwa kumi na kitu.
Jamani miongoni mwa mambo ambayo wanaume wanayaona ni kero ni swala la kupiga mizinga.
Wanawake tena mmetajwa kwa majina ambao mnashinda inbox mki zingalaizi. Mara mama anaumwa, mara dada kagongwa na bodaboda, mara nitumie hela ya kusuka nywele mara sina ada ya watoto.
Jamani kwa kweli mnahoyafanya huko PM aibu nimeona mimi. Ukitongozwa ndio usiseme. Hata kama una kazi ya ajira, tena mwajiriwa wa serikali, unaomba kuanzia vocha hadi hela ya chupi.
Wewe uko Dodoma mwanaume yuko Dar hajawahi hata kukulala zaidi ya kuonana mara moja na tena ulikuwa kwenye siku zako.
Nimekutaja wewe dada wa Dodoma sababu umekuwa na tabia ya kuwatongoza wanaume na baadae unaanza kuwa kero kwao na mizinga unayowapiga.
Jamani nawakaribisha Lindi tulime ufuta mbona kilimo poa tu, unapata hela ya kukukimu na huadhiriki.
2023 tubadilikeni jama
Hapooo songea hapo mtutoe, tushazoeaa shida siee, mlenda na ugali kwetuuu safiii sio shda zetu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa sasa tunadeal na kanda ya kati baada ya hapo tunaruka hadi songea, mbinga, maji maji, mbambabay hadi manda na ruanda ili waseme kisa cha kutokula ugali na mchicha ni nini hadi watake mberere na mbufu,