Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
Atakuwa mwalimu tu huyoHuyu kama sio receptionist sijui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa mwalimu tu huyoHuyu kama sio receptionist sijui
Hebu ajitokeze chapAtakuwa mwalimu tu huyo
Nimewaza tuMkuu kama tabia ya omba omba ipo haijalishi ni receptionist au MD bado utaomba tu.
Mtoto mwenye brown eyes nakuona katika ubora wako.Iwe mwanamke au mwanaume, tabia ya kuomba omba hela kama huna mikono si nzuri.
Kwanza unajishusha hadhi yako, kijana una nguvu zako, kwanini umuombe mtu mwingine?
Umetongozwa unaanza mizinga!!! Kabla ya kukutongoza ulikuwa unaishije? akikupenda atakupa kama mpenzi wake, acheni umatonya.
Hela za kwako?Ila nchi yenyewe omba omba unategemea wananchi tuweje! Mtupe tu hizo hela[emoji23]
Duh! Chief tulia mambo mengine ni utani tu[emoji23][emoji23][emoji23]. Aisee mpaka umtukane mtu!Hela za kwako?
Fanya kazi acha umalaya
Mimi demu akinipiga kizinga ndio tumeagana hivyo !!Uzuri wake kuwapa sio lazima.
kuomba omba ni kujifedhehesha, ukishaona maisha yako hayaendi bila kuomba omba basi ujue ushafeli kwa asilimia kubwa sana, imagine mtu anaomba kwa watu 10 at once hata kama ni shida hapana, tabia ya hovyo mno.Iwe mwanamke au mwanaume, tabia ya kuomba omba hela kama huna mikono si nzuri.
Kwanza unajishusha hadhi yako, kijana una nguvu zako, kwanini umuombe mtu mwingine?
Umetongozwa unaanza mizinga!!! Kabla ya kukutongoza ulikuwa unaishije? akikupenda atakupa kama mpenzi wake, acheni umatonya.
Hutaki tena dili la kulima ufuta nazi?? Kweli upo addicted [emoji2099]Ila nchi yenyewe omba omba unategemea wananchi tuweje! Mtupe tu hizo hela[emoji23]
Weeee….usiniambie
Wamejikomboa ila kuna ujinga wengi wao bado wanao kuwa ni lazima waombe hela na ndicho wanachokifanya matokeo yake wanakuwa kero.Yaani, umenena haswa.
Wanawake wamezidi.
Mizinga kwa wengine ndiyo sehemu ya maisha.
Huwezi kusema wanajiuza . lakini kwa mizinga hadi inakera.
Kabla ya Chrismas ilibidi nizime kabisa simu.
Mwanamke hata uliyewahi kumkonyeza analeta furushi la matatizo yake.
Mwingine anataka umlale hata kwa yeye bibie kukutongoza ili apate mahali pa kuomba.
Ukimtolea nje utaona tu anahmia kwa mwingine.
Jana tu nimepata ujumbe , mtoto ana birthday(si wangu)
Mwingine anomba hela ya kodi ya nyumba
Mwingine anaomba ada ya watoto(si wangu)
Mwingine ndo kaniudhi,kaandika "we mwanaume naomba hela nina shida"
Wanawake sijui watajikomboa lini!
I'm just 41. Nilianza biashara nikiwa ni ngali mdogo. Nimesha kuwa na dogs farm, nimefuga hadi nyuma sumu nikawa nauza nje hadi pale Corona ilipo strike.
Sasa nalima ufuta
Kwamba serikali ya Tanzania ni malaya😂😂acha makasiriko toa helaHela za kwako?
Fanya kazi acha umalaya
Tunaunga mkono juhudi za mama yenu kwa kuombaomba😂😂yani mlivyochukia mngejua siwezagi hiyo tabia mngejionea huruma hizo hasiraHutaki tena dili la kulima ufuta nazi?? Kweli upo addicted [emoji2099]
Mi mwenyewe wamenichosha, yaani usimpe hi mdada pm. Kosa