Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
😉 Ushamkumbuka?Nafahamu mkuu,halafu ni mstaarabu ila ndo hivyo kuwa anonymous kuna raha yake. Sema ule ukweli vya kupewa vina addiction ni bora kuvikwepa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😉 Ushamkumbuka?Nafahamu mkuu,halafu ni mstaarabu ila ndo hivyo kuwa anonymous kuna raha yake. Sema ule ukweli vya kupewa vina addiction ni bora kuvikwepa
😉 Ushamkumbuka?
Wewe ni wife material kabisa wallah..!Numbisa my darling wewe wala hata hukuwa mentioned. Sitaji majina, jiwe gizani
Nawaoneeni huruma sanaYaani, umenena haswa.
Wanawake wamezidi.
Mizinga kwa wengine ndiyo sehemu ya maisha.
Huwezi kusema wanajiuza . lakini kwa mizinga hadi inakera.
Kabla ya Chrismas ilibidi nizime kabisa simu.
Mwanamke hata uliyewahi kumkonyeza analeta furushi la matatizo yake.
Mwingine anataka umlale hata kwa yeye bibie kukutongoza ili apate mahali pa kuomba.
Ukimtolea nje utaona tu anahmia kwa mwingine.
Jana tu nimepata ujumbe , mtoto ana birthday(si wangu)
Mwingine anomba hela ya kodi ya nyumba
Mwingine anaomba ada ya watoto(si wangu)
Mwingine ndo kaniudhi,kaandika "we mwanaume naomba hela nina shida"
Wanawake sijui watajikomboa lini!
I'm just 41. Nilianza biashara nikiwa ni ngali mdogo. Nimesha kuwa na dogs farm, nimefuga hadi nyuma sumu nikawa nauza nje hadi pale Corona ilipo strike.Wewe ni wife material kabisa wallah..!
Ujengewe sanamu la kumbukumbu mlima Kilimanjaro.
Ila kwa bahati mbaya mara nyingi wanawake wingi mnakomaa kiakii wakati umri umekwenda, unakuta hata angani huendi tena.
Jana wana JF kadhaa wenye club yetu fulani hivi amazing tulikuwa tumekutana The Wine Coutry kwa ajili ya kuukaribisha mwaka mpya wa 2023. Wanawake tulikuwa wawili tu, mimi na bidada mwingine na wanaume idadi yao ilikuwa kumi na kitu. Jamani miongoni mwa mambo ambayo wanaume wanayaona ni kero ni swala la kupiga mizinga. Wanawake tena mmetajwa kwa majina ambao mnashinda inbox mki zingalaizi. Mara mama anaumwa, mara dada kagongwa na bodaboda, mara nitumie hela ya kusuka nywele mara sina ada ya watoto. Jamani kwa kweli mnahoyafanya huko PM aibu nimeona mimi. Ukitongozwa ndio usiseme. Hata kama una kazi ya ajira, tena mwajiriwa wa serikali, unaomba kuanzia vocha hadi hela ya chupi. Wewe uko Dodoma mwanaume yuko Dar hajawahi hata kukulala zaidi ya kuonana mara moja na tena ulikuwa kwenye siku zako. Nimekutaja wewe dada wa Dodoma sababu umekuwa na tabia ya kuwatongoza wanaume na baadae unaanza kuwa kero kwao na mizinga unayowapiga. Jamani nawakaribisha Lindi tulime ufuta mbona kilimo poa tu, unapata hela ya kukukimu na huadhiriki. 2023 tubadilikeni jamani
Nakuja pmIwe mwanamke au mwanaume, tabia ya kuomba omba hela kama huna mikono si nzuri.
Kwanza unajishusha hadhi yako, kijana una nguvu zako, kwanini umuombe mtu mwingine?
Umetongozwa unaanza mizinga!!! Kabla ya kukutongoza ulikuwa unaishije? akikupenda atakupa kama mpenzi wake, acheni umatonya.
Nitakujulia hali vipi lakini,si uniruhusu tu japo dk 2 au tutaombana pesa za ujenzi huko...😅PM siingii mie ujue 🤣🤣
Ng’ombe mzee hazeeki mainihaa haaa, mie mzee
Duh [emoji846]Mimi juzi kuna yupo aliniomba 1000, nikamuuliza ya nini ,kasema ,
Ya kununulia mkaaa.
Kuna wanawake wanatia kichechefu balaa ,skujui hunijui unaomba 1000,alafu social media yupo active muda mwingi,hiii tabia sio nzuri ni kama kujidhalilisha tu.
Huyu mwanamke nilimnyima ni kama kumdekeza bila sababu,ndo kwanza januari.
Aisee!!!Iwe mwanamke au mwanaume, tabia ya kuomba omba hela kama huna mikono si nzuri.
Kwanza unajishusha hadhi yako, kijana una nguvu zako, kwanini umuombe mtu mwingine?
Umetongozwa unaanza mizinga!!! Kabla ya kukutongoza ulikuwa unaishije? akikupenda atakupa kama mpenzi wake, acheni umatonya.