OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Anazidi kunawiri tu. Wiki hii tunapeleka watoto shule. Nitapata wasaa wa kuinjoi uumbaji wa Mungu,tutafikia hotel 1Mkuu,mrembo wa kilokole anaendeleaje Kwa sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anazidi kunawiri tu. Wiki hii tunapeleka watoto shule. Nitapata wasaa wa kuinjoi uumbaji wa Mungu,tutafikia hotel 1Mkuu,mrembo wa kilokole anaendeleaje Kwa sasa?
hahahaha,ndo maana ,nacheka tuWana huzunisha
Sidhani kama kumtoa mtu out ni kupigana mizinga, yaani mimi na wewe twende mahali tukale, tunywe na kupiga story huo unaitwaje mzinga Chak?Hivi nikikuomba unitoe dinner nitakuwa nimekupiga mzinga?🫣🫣
🫡🫡Iwe mwanamke au mwanaume, tabia ya kuomba omba hela kama huna mikono si nzuri.
Kwanza unajishusha hadhi yako, kijana una nguvu zako, kwanini umuombe mtu mwingine?
Umetongozwa unaanza mizinga!!! Kabla ya kukutongoza ulikuwa unaishije? akikupenda atakupa kama mpenzi wake, acheni umatonya.
hahahaha,dah🤣🤣🤣🤣🤣vinyau hulagi humu
Hao wanaume wanakosea sana, pamoja na yote, hizo pdf za nini sasa, nyie mmetoka out kukaribisha mwaka, kwa nini mnakuwa na convo za jf na kujadili watu wa jf?Wanaume wana pdf kabisa la ombaomba
Nilikuwa nakuuliza tu maana ninakatarehe kangu hapa nimekapanga unipeleke nikapate dinner na wine.Sidhani kama kumtoa mtu out ni kupigana mizinga, yaani mimi na wewe twende mahali tukale, tunywe na kupiga story huo unaitwaje mzinga Chak?
😅😅😅🤣🤣🤣aloo unamisimamo😍sio poa
Imagine.Hao wanaume wanakosea sana, pamoja na yote, hizo pdf za nini sasa, nyie mmetoka out kukaribisha mwaka, kwa nini mnakuwa na convo za jf na kujadili watu wa jf? Sisi tunaomeet nje ya jf kuna mahali tunakosea sana, badala ya kufurahia "muunganiko" wenu mpo busy kujadili IDS mbalimbali, sio sawa.
Mkifika hotelini msisahau kwenda faraghani kusali.Anazidi kunawiri tu. Wiki hii tunapeleka watoto shule. Nitapata wasaa wa kuinjoi uumbaji wa Mungu,tutafikia hotel 1
Hako katarehe kakifika tutapanga tu mtu wangu, kutoka out hakuhusiani vyovyote na mizinga. Lakini kama mtu anayo na mwenzake ana uhitaji, giving is receiving huwa mnasema nyie wazungu.Nilikuwa nakuuliza tu maana ninakatarehe kangu hapa nimekapanga unipeleke nikapate dinner na wine.
Umepotea sna siku hizi.aliyekukamata hongera kwakehahahaha,ndo maana ,nacheka tu
Hako katarehe kakifika tutapanga tu mtu wangu, kutoka out hakuhusiani vyovyote na mizinga. Lakini kama mtu anayo na mwenzake ana uhitaji, giving is receiving huwa mnasema nyie wazungu.Nilikuwa nakuuliza tu maana ninakatarehe kangu hapa nimekapanga unipeleke nikapate dinner na wine.
Tuwe makini mno mno! Tuwe makini sana...Imagine.
Hivi kwani ukionana na mtu wa jf ni lazima useme umeona na na fulani?ni upuuzi.inabidi kuwa makini na watu wa kukutana nao nje ya jf.
🤓🤓🤓Hako katarehe kakifika tutapanga tu mtu wangu, kutoka out hakuhusiani vyovyote na mizinga. Lakini kama mtu anayo na mwenzake ana uhitaji, giving is receiving huwa mnasema nyie wazungu.
Inatia huzuni ndugu yangu.aiseTuwe makini mno mno! Tuwe makini sana...
hahahaha,Umepotea sna siku hizi.aliyekukamata hongera kwake
Acha kuchochea kuni mkuu. Sijui kama itawezekana,yule ulokole wake ni deep sana. Kila kitu "amina...amina mtumishi"Mkifika hotelini msisahau kwenda faraghani kusali.
Wasalimie watoto mkuu
Mtusamehe tu..tunapenda maisha yaliyojuu ya uwezo wetu pengine labda hata kazi hatufanyi.Yaani, umenena haswa.
Wanawake wamezidi.
Mizinga kwa wengine ndiyo sehemu ya maisha.
Huwezi kusema wanajiuza . lakini kwa mizinga hadi inakera.
Kabla ya Chrismas ilibidi nizime kabisa simu.
Mwanamke hata uliyewahi kumkonyeza analeta furushi la matatizo yake.
Mwingine anataka umlale hata kwa yeye bibie kukutongoza ili apate mahali pa kuomba.
Ukimtolea nje utaona tu anahmia kwa mwingine.
Jana tu nimepata ujumbe , mtoto ana birthday(si wangu)
Mwingine anomba hela ya kodi ya nyumba
Mwingine anaomba ada ya watoto(si wangu)
Mwingine ndo kaniudhi,kaandika "we mwanaume naomba hela nina shida"
Wanawake sijui watajikomboa lini!