Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£! Bila shaka Mwenye masikio amesikiaaaaa na wa macho kaonaa mkuuu kiukweli sindano mlizituchoma kwenye huu uzi πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!!
Hahaha..........Mjukuu, hapa Babu yako sihusiki.

Nilikuwa naelezea tukio la Mwaka 47 huko πŸ€—πŸ€ͺ
 
Hahaha..........Mjukuu, hapa Babu yako sihusiki.

Nilikuwa naelezea tukio la Mwaka 47 huko πŸ€—πŸ€ͺ
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£! Sindano yamotroo sana hii lol😁😁!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£! Sindano yamotroo sana lol😁😁!
Poleni, najua Wajukuu zangu Nyie hamko hivyo.

Kwa namna Babu yenu nilivyowalea najua hamtawasumbua Waume/Wapenzi wenu kwa Vizinga πŸ€—
 
πŸ™‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£
Sahihi Mkuu, na sio kwamba nafasi ya kuwasaidia hatuna, No isipokuwa vile Vizinga vya mara kwa mara ndiyo kero.

Na suala hili kadri linavyoendelea ndiyo nguvu za Kiume zinazidi kupungua.

Manake Mwanaume akuwa stressed muda wote na ukiangalia unakuta amezama hasa kwenye Huba
 
Humu ukipiga kizingaa jua tyu lazima nawe utoeeeee papaaaa tena ukikaa vibaya utaliwa hadi matak mbona khakhakhaaaa!! Mahusiano Humu ni two way traffic banaaa ukipiga kizinga nawe wapigwa papaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ukitaka kula sharti uliwe kidogo, sasa we unataka kula tu pekeake? Haiwezekanii!
 
Sasa mbona hasira? Huko kupambana na hali ndio kupoje kama sio kunyimwa utelezi πŸ˜’
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚! Thubutuuuuuuu!! Navopenda πŸ† Naanzaje πŸ˜πŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈ!
Mie nikimuomba Akinipa sawaa asiponipa pia yote kheri... Kabla yake nilikua naishi na Hapo sio mwisho wa maisha piaaa same applies to him!!
 
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚! Thubutuuuuuuu!! Navopenda πŸ† Naanzaje πŸ˜πŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈ!
Mie nikimuomba Akinipa sawaa asiponipa pia yote kheri... Kabla yake nilikua naishi na Hapo sio mwisho wa maisha piaaa same applies to him!!
Unaipenda kuliko pesa? πŸ€”
 
Back
Top Bottom