Ni sawa kwa mwanaume kumsalimia mwanaume mwenzie mambo? Tena ile mambo ya kuvuta[emoji23]
Unaweza kwenda kukaa kwa girlfriend wako ilihali you have your place?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini wanaume mkiulizwa na wanawake "baby hivi kweli wanipenda"? Wengine hukasirika tatizo huwa Nini?Maswali mbona hayaulizwi??
ππππAh wanavibrate balaaa..alafu utashanga ndio kwanza anazidi kukusogezea kinyeo...ukiwa nda lube yako hapo ah in no time unajiterezea tuu kwanza kwa kutest kichwaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£
Hilo swali mara nyingi haliulizwi bila kuwa na sababu za msingi..Swali litakalofwata baada ya hilo mara nyingi ni tata..Tunakasirika ili kukutoa kwenye reli..Kwanini wanaume mkiulizwa na wanawake "baby hivi kweli wanipenda"? Wengine hukasirika tatizo huwa Nini?
Kwasababu tunajiisi vibaya kamaKwanini hampendi kushikwa makalio?
Wakati tukiwa na asira ama.tumelewa ndio huwa tunaongea ukwel. Lakin hizo nyakit nyingne ulizo taja huwa ni nyakat za kampen tuNi wakati upi huwa mnakuwa wakweli kabisa kutoka moyoni kumuambia mwanamke kuwa 'she is sweet'..!!
i; Wakati wa tendo..?
ii; Baada ya tendo..??
iii; Ama ukiwa unahitaji tena tendo.?
Utam ni asili + ufundi wa mtu.Mi naomba kujua mwanamke mtamu ndo yukoje? Na je utamu ni asili, yaani unakuta wala sio mtundu ktk tendo ila tu ni mtamu i mean yyko kawaida tu hana mbwembwe nyingi. Au utundu ndo unafanya awe mtamu.
Duu!!Ila akina Dada hakikisheni kabla sijakuoa chuchu ziniangalie mimi usoni zisiwe na aibu zikaanza kuangalia viatu vyangu
sijui nimeeleweka ?
Naam?Kwanini hampendi kushikwa makalio?
Makalio yenyewe magumu na hayana mvuto wa kushikwa shikwaDuuh sasa wewe mwanamke ebu niambie unaona raha gani ukishika makalio ya mwanaume? Depal
Kuna tofauti iliopo kati ya makalio ya mwanamme na mwanamke...kifupi,we men in general,we are more muscular than women(sasa hizo feeling za kuyashika wanaume tutazitoa wapi,nawe ushasema 'hamna raha yoyote',ni utani)...Hamna raha yoyote ila tu napenda nikutanie just in case nikikuta hujayapaka mafuta
Mi unanionea bure ujue... Nshazeeka.Mi sijaelewa bado.
Naomba maelezo ya kina tasavali, akiwemo na babu ODM Asprin kukazia maelezo ya hilo swali.
Mapenzi ni zaid ya sex ni zaid ya umbo. Kwaiyo ujasili wa kutoka na mtu anaenizid umri unakuja pale unapoona hisia zako zipo kwake kwel na pia kuna kitu ambacho unakimis ila kwake kipoMnapata wapi ujasiri wa kutaka mahusiano na mwanamke aliyekuzidi umri? Achaneni na mambo ya AGE IS JUST THE NUMBER.
Wanaume kufungua Id za kike mitandaoni inasababishwa na nini ?
Hii kitu n ntu na ntu..Ni wakati upi huwa mnakuwa wakweli kabisa kutoka moyoni kumuambia mwanamke kuwa 'she is sweet'..!!
i; Wakati wa tendo..?
ii; Baada ya tendo..??
iii; Ama ukiwa unahitaji tena tendo.?
Kasie nawe huwa wapenda kuyashika?Aahahahahahaaa looh acha leo meno yangu yapunge hewa, ukipata jibu naomba nisendie na mimi looh!!
Ngoja blangata yangu ikae sawa.
ππππ
Umekuwa kula tigo?
KUbabeki..this is naked truth aisehπββοΈπββοΈMkuu hata kwenye maisha ya kawaida nje ya mahusiano, siku zote ukikipata kitu ulichokua unakihitaji utakua excited mwanzoni tu, lakini baada ya muda thamani ya hicho kitu inapungua ama kupotea kabisa sababu unakua na uwezo wa kuki access muda wowote.
Hivyo hivyo kwenye mahusiano, mwanaume akishakupata, akalala na wewe thamani yako automatically inapungua, ndio maana kwa utafiti wangu usio rasmi wanawake wengi wasoma alama za nyakati huwa wanataka ndoa kwanza ndio watoe asali.
Ukiona mwanaume amemuacha mwanamke halafu amerudi tena rejea kwenye nadharia ya kwanza hapo juu kua thamani ya kitu itaanza kuonekana siku ukikikosa au ukashindwa kuki access kama hapo before,
Pia nje ya hapo kiujumla mwisho wa siku inabaki kua tabia ya mtu mwenyewe, malezi aliyokulia na circle ya watu wanaomzunguka, hasa watu wake wa karibu zaidi (marafiki)
OhoooooNdo tulivyo umbwa nature yetu
We are polygamist in nature
Hope hiyo raha inakuwa upande wako lakini sio kwetu sisiWakati ni raha sanaaaaaa kushikwa makalio
Nimshapata jibuππWee jua ni tamuuu