Kwanini hampendi kushikwa makalio?
Ina maana nikikuslap kidogo ndiyo itabadilisha uanamme wako? Achen uchoyo wa kijinga bana
Na kwanini uyashike??Kwanini hampendi kushikwa makalio?
Kama maswali ndo haya mi nakula kona..πKwanini hampendi kushikwa makalio?
DADEKI..πHamna raha yoyote ila tu napenda nikutanie just in case nikikuta hujayapaka mafuta
Wakati wa tendoNi wakati upi huwa mnakuwa wakweli kabisa kutoka moyoni kumuambia mwanamke kuwa 'she is sweet'..!!
i; Wakati wa tendo..?
ii; Baada ya tendo..??
iii; Ama ukiwa unahitaji tena tendo.?
Yote majibuNi wakati upi huwa mnakuwa wakweli kabisa kutoka moyoni kumuambia mwanamke kuwa 'she is sweet'..!!
i; Wakati wa tendo..?
ii; Baada ya tendo..??
iii; Ama ukiwa unahitaji tena tendo.?
Mi mbona naona yote ni majibu sahihi..!Ni wakati upi huwa mnakuwa wakweli kabisa kutoka moyoni kumuambia mwanamke kuwa 'she is sweet'..!!
i; Wakati wa tendo..?
ii; Baada ya tendo..??
iii; Ama ukiwa unahitaji tena tendo.?
Sijui kwanini ila hili swali nishaulizwa na wanawake zaidi ya wanne nahisi kuna mwingine atauliza. So nitajibu in advance.
Swali lenyewe ni "Mkisimamisha hua ni kwavile mnataka ngono?"
Jibu ni "Hapana. Kusimamisha kwa sisi wanaume siyo lazima kumaanisha tunataka ngono mfano naweza nikawa kwenye daladala ghafla nikasimamisha, au nikaamka huku nimesimamisha. Sometime nakua sina kazi nimejilaza kitandani na uume wangu utasimama ni kama unaniambia 'Uko lonely hebu cheza na mimi' so jibu lake ni hilo. Kusimamisha haimaanishi nataka ngono"
Kwanini hampendi kushikwa makalio?
Kwanini hampendi kushikwa makalio?
Baada ya tendo.. huwa ni unafki[emoji23]Ni wakati upi huwa mnakuwa wakweli kabisa kutoka moyoni kumuambia mwanamke kuwa 'she is sweet'..!!
i; Wakati wa tendo..?
ii; Baada ya tendo..??
iii; Ama ukiwa unahitaji tena tendo.?
Yaani ni kwamba kwa wanaume kusimamisha siyo kiashiria cha kutaka tendo kwa huo muda aliosimamisha. Na tunaweza simamisha katika mazingira ambayo ni unrelated na romance kabisa.Mi sijaelewa bado.
Naomba maelezo ya kina tasavali, akiwemo na babu ODM Asprin kukazia maelezo ya hilo swali.