Wadada ulizeni maswali Wanaume wawajibu hapa

Wadada ulizeni maswali Wanaume wawajibu hapa

Hamna raha yoyote ila tu napenda nikutanie just in case nikikuta hujayapaka mafuta

Aaahahahahahahaa we e dada leo umekula nini asubuhi na mchana loooh

Sio kwa blangata hii aahahahahahaaa.

Halafu ukikuta hajayapaka mafuta (makalio yake, mwanaume) unamsaidia kuyapaka... aahahahahhaaa

Ila uyapake kimahaba na kwa tahadhari kubwa aaahahahahahahahahhahahaahaaaa looh jamani msaada wa mbafu zangu khaa!!
 
DADEKI..😅

We mwanamke umekula au umevuta bange..?
Fahari yetu shika dyudyu hapo najisikia burudani.. Sasa we kama unataka kujua ngumi ni hamira pia fanya upuuzi..😅

Umepatikana leo, ach kujigusa gusa jibu maswali.

Huu uzi mtamu sana, tasavali Melo ulinde usifutwe.

Angalizo japo mie si mtoa mada; Maswali na Majibu ni sehemu ya burudani na si kudhihaki jinsia yeyote ile.

Amen!
 
Yaani ni kwamba kwa wanaume kusimamisha siyo kiashiria cha kutaka tendo kwa huo muda aliosimamisha. Na tunaweza simamisha katika mazingira ambayo ni unrelated na romance kabisa.

Hapo vipi?

Imekaa sawa.

Nasubiri muongozo wa ODM.

Wanaume hoyeeeee!!!
 
Ni wakati upi huwa mnakuwa wakweli kabisa kutoka moyoni kumuambia mwanamke kuwa 'she is sweet'..!!

i; Wakati wa tendo..?
ii; Baada ya tendo..??
iii; Ama ukiwa unahitaji tena tendo.?
Na sisi kama binadamu wengine ikitokea tuna uhitaji wa kitu na namna ya kukipata ni kuongopa ni tutaongopa tu.

So kama tunachotaka ni kabla ya tendo, na kukipata ni kuongopa tutaongopa n.k.
 
Dunia inaenda kasi sana

Na nyie wadada wa sahivi mlivo washenzi mnaingiza vidole vyenu kwenye tigo za ma-boyfriend wenu.

Kuna mdada juzi kati aliniambia anataka aninyonye tigo/apitishe ulimi wake kwenye tigo yangu, hapo hapo nilimfukuza gheto, baadae nilimshangaa sana huyo mdada, nkasema hii dunia imeisha ledada
 
Back
Top Bottom